Uchaguzi 2020 TAKUKURU mnazuia ubwabwa mnawaacha wasanii?

Uchaguzi 2020 TAKUKURU mnazuia ubwabwa mnawaacha wasanii?

mbna ule ni mwanzo tu, watu wa moshi wana ham nae sana maaana kuna mawe yanamsubiri
Hakika mkuu.
Screenshot_2020-09-05-14-15-32-1.jpg
 
Mgombea anaye toa ajira katikati ya kampeni naye katoa rushwa.
 
Jana PCCB wamepiga marufuku mgombea wa chauma kutumia UBWABWA kwenye kampeini zake.

Mzee Rungwe amekuwa anasema yeye atatumia UBWABWA kwenye kampeni zake kama CCM inavyowatumia wasanii kwenye kampeni zake.

Hapa ndipo maswali mengi yanapo jitokeza kwa wapenda haki hapa nchini. Hapa kuna double standard.

CCM kuwatumia WASANII ni moja ya kuwavuta watu waende kwenye mikutano yao hivyo nayo ni rushwa tuuu, TAKUKURU wanashindwa nini kuwastopisha CCM kuwatumia WASANII? Maana yote ni rushwa tu.

Tanzania bila CCM inawezekana.

Sent using Jamii Forums mobile app
Labda wanapewa ugali, sio ubwabwa
Na kuuziwa sare, na posho nene!
 
Jana PCCB wamepiga marufuku mgombea wa chauma kutumia UBWABWA kwenye kampeini zake.

Mzee Rungwe amekuwa anasema yeye atatumia UBWABWA kwenye kampeni zake kama CCM inavyowatumia wasanii kwenye kampeni zake.

Hapa ndipo maswali mengi yanapo jitokeza kwa wapenda haki hapa nchini. Hapa kuna double standard.

CCM kuwatumia WASANII ni moja ya kuwavuta watu waende kwenye mikutano yao hivyo nayo ni rushwa tuuu, TAKUKURU wanashindwa nini kuwastopisha CCM kuwatumia WASANII? Maana yote ni rushwa tu.

Tanzania bila CCM inawezekana.

Sent using Jamii Forums mobile app

1599308721579.png
 
unaongelea 2016 we hujui tushafika mwaka wa uchaguzi
View attachment 1559477
Unaongelea utafiti uliofanywa UVCCM&Associates?Twaweza walimpa ukweli umaarufu wenu umeshuka mkawafungia mpk leo,hahah.

Umeona hata taasisi yoyote reputable/international media yoyote ile iki discuss hio 'rubbish report' yenu?

Hio rubbish report inakua discussed hapo uhuru fm,channel 10,magic fm,tbc&the likes.

Hakika atashinda.
tapatalk_1577354951190.jpg
 
Back
Top Bottom