TAKUKURU na Uhamiaji, Mchunguzeni Jitendra Shechwat wa Kiwanda cha Pepsi(SBC LTD). Anatuhumiwa kwa Rushwa na Unyanyasaji

TAKUKURU na Uhamiaji, Mchunguzeni Jitendra Shechwat wa Kiwanda cha Pepsi(SBC LTD). Anatuhumiwa kwa Rushwa na Unyanyasaji

Ndani ya Kampuni inayotengeza Vinywaji baridi vya Pepsi(SBC LTD). Kumekuwa na Ubaguzi, Unyanyasaji na Uonevu wa kila aina kutoka kwa Wenzetu wa India.

Hivyo tunaomba TAKUKURU, Uhamiaji na Wizara ya Kazi ilifnayie kazi.

Wafanyakazi Walishawahi kumuandikia Barua Mkurugenzi Mkuu wa TAKUKURU lakini hakuna hatua zozote zilizochukuliwa.

Jitendra Shechwat Sign ndo analalamikiwa sana sababu anajihisi kwamba ana uwezo wa kifedha wa kufanya chochote na ni rafiki Mkubwa wa Watendaji Serikali.

Jitendra alifukuzwa nchini na Serikali mwaka jana 2021 baada ya vibali vyake vya kufanya kazi/kuishi kumalizika. Lakini baada ya Kifo Magufuli, Wakabadilisha mafile kiujanjaujanja ili asionekane muda wa kibali cha kazi uliiaha, akarudi mwaka huo huo na kupata kibali kingine kilichosainiwa na Waziri mwenye dhamana(Hii ndo ichunguzwe pia).

Nawashauri TAKUKURU waanze kumhoji Alex Ngwebe Foti Nyirenda sababu ndo mwenye ukaribu na Watendaji wa Serikali. Hata hawa Wageni wakiitwa wanamtuma yeye kesi inaisha.

Bwana Jitendra kama akifanikiwa kumaliza kibali chake cha kazi kwa sasa atakuwa amefanya kazi miaka 11 katika kazi ya procurement lakini anajiita general manager Planning.

Tangu amerudi amekuwa mnyanyasasi mkubwa kwa Wazawa hasa wafanyakazi wa Kitanzania kwa kushirikiana na mhindi mwenye asili ya Tanzania aitwae Sachin.

Pia amehamisha kazi zilizokuwa zikifanywa na kampuni za wazawa na kuzipeleka kwa kampuni ya kihindi (Ralcot)

Kampuni zilizonyang'anywa kazi ni MC Juro, Isumba Maritime, PMM ICD, DICD zote za Watanzania ambazo zilikuwa zinamikataba ya kazi.

Kazi zote wamepewa ICD moja tu ya HESU investment kwa kushirikiana na Ralcot.

Swali ni;

Kwanini Wageni wapewe kazi zinazoweza kifanywa na Watanzania?

Mtaani watu hawana ajira lakini Wageni kutoka India Wamejazana Viwandani kufanya kazi ambazo Watanzania wanaweza fanya.

Mwaka jana Gazeti la The Guardian walimhoji imekuaje yupo Nchini akadai yeye si Msemaji.
View attachment 2154923
Pia hii ni Barua Wafanyakazi Waliandikia TAKUKURU ambayo haikujibiwa wala kufanyiwa kazi
View attachment 2154925View attachment 2154926

View attachment 2154929
Pia unaweza soma kwa kina wanaolalamikiwa hapa. Japo imeandikwa SIRI, hakuna Siri yoyote kwenye jambo Ovu, inatakiwa iwe wazi kila mtu aone.
View attachment 2154939View attachment 2154940
Tunaomba Vyombo vya Serikali mfanyie kazi.

Ikibidi pitisheni Sensa kwenye haya Makampuni ya Kigeni tujue wapo wangapi na wanafanya nini.

Uhamiaji fanyeni kama Mlivyofanya CI GROUP.

Soma;

1). Bomu la Kampuni ya Wahindi yaanikwa

2). Wafanyakazi CI-Group walipa faini ya Sh 52 milioni
Mimi nilikuwa nikiuza soda za Pepsi niliacha biashara ya Pepsi baada ya madereva wanaosambaza hizo soda kunipunja idadi ya kreti kulingana na pesa niliyolipa, walipoondoka dukani kwangu walitokomea hawakusimama kwa wateja wengine, wengi walipata mkasa kama wangu.
 
R.I.P SHUJAA JPM bado wanakulilia huku
Kweli mkuu, huyu alikuwa kazi yake ni kuua sekta zote binafsi. Nikikumbuka ile kauli ya kuwa atahakikisha matajiri wanaishi kama mashetani dah najiuliza alikuwa anampango gani na watanzania, mara akaanza kuwaita wanyonge na wao wanabinuka tu
 
Ukifanya kaz kwa wahindi hata kutoboa kweny maisha inakuaga ngum kinoma hao makanjibai hawataki kuona hata umebadilisha shati, tunawatukuza ila huko kwao India wengi maisha yao mabovu tu wanaendesha Bajaj Kama sisi alafu wanakuja kutuvimbia huku mtu mweusi wanakuona kama siyo binadam
Yani ndivyo walivyo?
 
Aibu sana nchi hii mfariji mkuu nani mtatua kero nani mpatanishi nani hata vyama vya upinzani havibebi agenda kama hizi wapi tunaenda lini tutafika na tutafikaje?
 
Ndani ya Kampuni inayotengeza Vinywaji baridi vya Pepsi(SBC LTD). Kumekuwa na Ubaguzi, Unyanyasaji na Uonevu wa kila aina kutoka kwa Wenzetu wa India.

Hivyo tunaomba TAKUKURU, Uhamiaji na Wizara ya Kazi ilifnayie kazi.

Wafanyakazi Walishawahi kumuandikia Barua Mkurugenzi Mkuu wa TAKUKURU lakini hakuna hatua zozote zilizochukuliwa.

Jitendra Shechwat Sign ndo analalamikiwa sana sababu anajihisi kwamba ana uwezo wa kifedha wa kufanya chochote na ni rafiki Mkubwa wa Watendaji Serikali.

Jitendra alifukuzwa nchini na Serikali mwaka jana 2021 baada ya vibali vyake vya kufanya kazi/kuishi kumalizika. Lakini baada ya Kifo Magufuli, Wakabadilisha mafile kiujanjaujanja ili asionekane muda wa kibali cha kazi uliiaha, akarudi mwaka huo huo na kupata kibali kingine kilichosainiwa na Waziri mwenye dhamana(Hii ndo ichunguzwe pia).

Nawashauri TAKUKURU waanze kumhoji Alex Ngwebe Foti Nyirenda sababu ndo mwenye ukaribu na Watendaji wa Serikali. Hata hawa Wageni wakiitwa wanamtuma yeye kesi inaisha.

Bwana Jitendra kama akifanikiwa kumaliza kibali chake cha kazi kwa sasa atakuwa amefanya kazi miaka 11 katika kazi ya procurement lakini anajiita general manager Planning.

Tangu amerudi amekuwa mnyanyasasi mkubwa kwa Wazawa hasa wafanyakazi wa Kitanzania kwa kushirikiana na mhindi mwenye asili ya Tanzania aitwae Sachin.

Pia amehamisha kazi zilizokuwa zikifanywa na kampuni za wazawa na kuzipeleka kwa kampuni ya kihindi (Ralcot)

Kampuni zilizonyang'anywa kazi ni MC Juro, Isumba Maritime, PMM ICD, DICD zote za Watanzania ambazo zilikuwa zinamikataba ya kazi.

Kazi zote wamepewa ICD moja tu ya HESU investment kwa kushirikiana na Ralcot.

Swali ni;

Kwanini Wageni wapewe kazi zinazoweza kifanywa na Watanzania?

Mtaani watu hawana ajira lakini Wageni kutoka India Wamejazana Viwandani kufanya kazi ambazo Watanzania wanaweza fanya.

Mwaka jana Gazeti la The Guardian walimhoji imekuaje yupo Nchini akadai yeye si Msemaji.
View attachment 2154923
Pia hii ni Barua Wafanyakazi Waliandikia TAKUKURU ambayo haikujibiwa wala kufanyiwa kazi
View attachment 2154925View attachment 2154926

View attachment 2154929
Pia unaweza soma kwa kina wanaolalamikiwa hapa. Japo imeandikwa SIRI, hakuna Siri yoyote kwenye jambo Ovu, inatakiwa iwe wazi kila mtu aone.
View attachment 2154939View attachment 2154940
Tunaomba Vyombo vya Serikali mfanyie kazi.

Ikibidi pitisheni Sensa kwenye haya Makampuni ya Kigeni tujue wapo wangapi na wanafanya nini.

Uhamiaji fanyeni kama Mlivyofanya CI GROUP.

Soma;

1). Bomu la Kampuni ya Wahindi yaanikwa

2). Wafanyakazi CI-Group walipa faini ya Sh 52 milioni
Pongezi sana kwako na usichoke
 
Nini wajibu wa vyama vya wafanyakazi sehemu za kazi, serikalini hakuna wazungu, waarabu hata wachina lakini malalamiko ni yaleyale ya kutolipwa stahiki zao au kuongezewa mishahara.
Ukianza kutaja kabila la mtu ujue kunatatizo kwako.
Vyama vya wafanyakazi ni dhaifu na pia undumilakuwili wa black management unazidisha haki kutokupatikana. Wakubwa wachache wa kiafrica kwenye hizi kampuni kazi Yao huwa ku-wipe ass za wageni na kuwatetea humo ndan ya government na ndio maana wagen wanakuwa na kiburi cha hali ya juu.
 
Vyama vya wafanyakazi ni dhaifu na pia undumilakuwili wa black management unazidisha haki kutokupatikana. Wakubwa wachache wa kiafrica kwenye hizi kampuni kazi Yao huwa ku-wipe ass za wageni na kuwatetea humo ndan ya government na ndio maana wagen wanakuwa na kiburi cha hali ya juu.
Nimezungumzia serikalini ambako hakuna wageni ni watanzania watupu nako ni malalamiko ya kutolipwa stahiki.
 
Incomptent culture ni tatizo kubwa sana Tanzania, unaweza kuta malalamiko ya hawa wafanyakazi chanzo chake ni kubanwa kwa mirija ya wizi.....halafu takukuru hii tabia ya kupewa taarifa na kukaa kimya imekuwa tabia yao sugu hii inaonyesha pia wao pia sio comptent eneough kwa nafasi walizopewa

Sent from my SM-A013G using JamiiForums mobile app
Hujafanya kazi kwa wahindi wewe,muhindi hata uwe mfanyakazi mzuri kiasi gani,ka we black hawezi kukuekewa,mi nilishafanyaga kazi, unafanya kazi sehemu mbili bila kupenda,ka kazi ni masaa nane,ukijiroga kumaliza kazi zako mapema tu,basi atakubeba na gari na kukupeleka kwa rafiki yake ukamalizie mda,hao siyo watu kabisa
 
Sasa itakuwaje maana jamaa anasema takukuru barua hawajibu! Mbinu zote za amani walizojaribu wameshidwa...!!! Nikumpa kichapo tu maana kama wana nyanyasika nini kifanyike na wao wamnyanyase
Wamnyanyase kwa nguvu gani ya hela waliyo nayo?

Watu wanategemea watoto wao watengeneze uchochoro wa kuelekea chooni kupitia hio kazi ya SBC Tz Ltd kwa huyo huyo kanjibahi. Lazma wavumilie unyanyasaji tu ili maisha yaenda na hicho kidogo kiendelee kupatikana.

Pia kwa polisi njaa njaa hawa anaweza tuma kibaraka tu akakuweka ndani kwa sh 1 million tu ukateseka ndani kwa kosa la kubambikiwa.
 
Mimi nawakubali sana wazungu haki ya mungu tena,wazungu kwa mtu mmojammoja ni watu wazuri sana katika kulipa wafanya kazi,ila wazungu nao hawawaamini wahindi,ni bora mzungu amuanini mbongo kuliko muhindi
Serikali ingekuwa na akili ingealika wazungu wengi na kufukuza hawa washenzi wa Kihindi! Mara 10 wachina wanafanya vitu vya maana zaidi nchini kuliko hawa wahindi.

Wanatuona watanzania kama taka taka flani yani hawanaga haya kabisa wakati bongo wamekaribishwa tu.
 
Back
Top Bottom