DOKEZO TAKUKURU na Usalama wa Taifa, fuatilieni haya; nchi inahujumiwa. Kuna rushwa, urasimu na ufisadi mkubwa

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Tanzania kwamba kuna usalama wa taifa au waganga njaa

Mtu anawaza kujenga kwao, anawaza kusomesha watoto wake na ndugu, madeni utawaza kulinda nchi?

Wakubwa ndio wanakula, nchi yetu mishahara bado sana
Very bad! Soma tena ulichoandika halafu kirejee. Kitu kisicho na busara na kibaya kabisa kwa taasisi nyeti ya nchi hii. Tuviheshimu vyombo vyetu vya dola.🙏🙏🙏
 
Hata akishauri je, kitafanyika chochote
 
For sure taifa letu linahitaji kiongozi atakeyefumba macho na kufanya kitu kizito mnoooooooo

Yani unapata nafasi! Unafanya assassination kwa wapuuzi wote kama mzee wa mizizi na familia yake yote ili upuuzi usijirudie.

Sasa uchumi mbovu, Rushwa juu, nidhamu ya watumishi hakuna, hakuna ufanisi kwa mawaziri na rais wao lakini TISS wapo tu kama majuha!

Wanafurahi kuvaa nguo nyeusi na vidude vyao masikioni wanaona wameweza maisha ila kichwani weupe!

No vetting yani nothing special kuwapata hawa watu then tutegemee tutoboeee? Kweliiiiiiiii

Hapa tuna TISHI sio TISS
 
Soma tena kwa umakini utapata hoja yangu.

Halafu kuwa mlima mchicha kijijini sio unyonge kutohoji mambo ya msingi.

Pia, soma maoni ya wasomaji wengine hapa, wanatoa mawazo Bora kabisa ya nini cha kufanya.
 
Imagine eti ukarabati wa uwanja wa Taifa wa mpira, gharama ni billion 31, na hakuna anayeshtuka.

Wkt huo wengine wanakamuliwa tozo, n k.
Wakihoji, Waziri anakwambia hamia Burundi kama hutaki tozo.

Ni aibu sana
 
Movies zinawaharibu sana. Halafu tiss kazi zao sio maonyesho na kwakuwa hawaripoti kwako basi ukabaki kuamini uyaonayo ktk movies.
 
Lakini mbona wana viapo vya kulitumikia Taifa. ? Na viapo vya akina Justine Mahiga (RIP) ndio hivyo hivyo walivyoapa hawa. Inakuwaje leo hatuna watu kariba ya kina Mahiga RIP...
 
"...mkono wa chuma..."
 
Lakini mbona wana viapo vya kulitumikia Taifa. ? Na viapo vya akina Justine Mahiga (RIP) ndio hivyo hivyo walivyoapa hawa. Inakuwaje leo hatuna watu kariba ya kina Mahiga RIP
Wanakwamishwa na viongozi. Wai hupeleka taarifa kwa viongozi wao na viongozi ndio wafanya maamuzi. Shida ni kwamba viongozi ndio wana siasa? Unatarajia nn?
Ila kumbuka na wao wamo kati ya hao wanasiasa, hata kati ya mawaziri na wakuu wa vitengo , idara, ...
 
Lakini mbona wana viapo vya kulitumikia Taifa. ? Na viapo vya akina Justine Mahiga (RIP) ndio hivyo hivyo walivyoapa hawa. Inakuwaje leo hatuna watu kariba ya kina Mahiga RIP
Wanakwamishwa na viongozi. Wai hupeleka taarifa kwa viongozi wao na viongozi ndio wafanya maamuzi. Shida ni kwamba viongozi ndio wana siasa? Unatarajia nn?
Ila kumbuka na wao wamo kati ya hao wanasiasa, hata kati ya mawaziri na wakuu wa vitengo , idara, ...
 
Hapo namba mbili daah
Hapo namba mbili kumbe mambo yapo hivyo
 
Movies zinawaharibu sana. Halafu tiss kazi zao sio maonyesho na kwakuwa hawaripoti kwako basi ukabaki kuamini uyaonayo ktk movies.
Hauamini kama Bill Gates alikuja Tanzania? Hauamini kama Mo Dewji alitekwa na kuachiwa na watekaji bila watekaji kujulikana? Hauamini kama Jihad John ametua JKNIA mara 2??

Karne hii TISS kusimamia mitihani ya la saba kweli?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…