TAKUKURU Songwe yamrejeshea mkopaji nyumba ya TSh165 milioni

Kwa hiyo mkopeshaji analipwaje chake?.

kisheria apaswi kulipwa kwa sababu kwanza hapo kafanya makosa mengi.

Moja ni kufanya biashara ya kukopesha kinyume na sheria kwa kukosa leseni benki kuu.

Ukwepaji wa kodi, kwa kuwa biashara iyo haitambuliki, maana hayo mapato haramu hayatotozwa kodi.

Kwa kupokea na kutumia hayo mapato ya riba kinyume na sheria, inaweza kutafsiriwa kama utakatishaji wa fedha.

Kwa iyo kurudisha tu iyo dhamana (nyumba ) iliyokwa rehani wamemsaidia tu mkopaji maana anastahili adhabu nyingi.

Ikitokea mtu anashida alafu akakuambia umkopeshe pesa na atakurudishia zaidi ya iyo kwa kuda mfupi ama mrefu kwa kukupa dhamana yoyote usikubali kwa maana akilalamika kwenye vyombo husika utakosa yote pamoja na kuingia matatani.
 
Mikopo mingine ni mitego hiyo Nyumba ilikuwa imeenda
 
nadhani atalipwa kidg sanaaa mana kama kasema kila mwaka hiyo nyumba humwingizia 3m, ukizidisha mara 11 si unapata mil 33 yake aliyokuwa anadai[emoji38][emoji38], basi huenda akaongezwa na zingine 10 mil au 15mil kama fidia.
Toka aanze kukusanya hazijatimia tu? Unaweza kuta mkataba una muhuri wa mahakama ya mkoa
 
Toka aanze kukusanya hazijatimia tu? Unaweza kuta mkataba una muhuri wa mahakama ya mkoa
watu wenye hela wanatunyanyasa sisi ambao hatunazo. nimeona leo eti zoezi la uvunaji viungo vya binadamu linataka kuanza pia hapa bongo wapo hatua ya kutengeneza mswada ili uwe sheria, nikawazaaaaaaaaa🤔🤔🤔, hivi si watatumaliza sisi masikini jamani! tajiri anaumwa moyo masikini amelazwa kwa shida ya vidonda vya tumbo hivi watamwacha? mbona naona rushwa itakuwa nje nje wa madaktari jamani, pia naona vile visa vya watu kupotea vitakuwa vingi mnoooo.
NIMEENDA MBALI SANA NA MAADA ILA NI KWASABABU YA KITU HELA😁
 
Unyang'anyi tu huo....
11M rejesho 33M...kiukweli mbinguni mbali!
Kisha kashachukua kodi at least miezi 100 ya 3M kila mwezi tokea amnyang'anye! Jumla yote alichopata ni 300M+, daah!
Ni zaidi ya unyang'anyi! Hapo utakuta na mawakili wasomi walihusika pia!

Everyday is Saturday............................... 😎
 
Hahaaa... Dunia tambala bovu
 
Hii mikopo umiza huwa inamsaidia Sana, kikubwa mkopaji uwe na uhakika mujarabu,. Tatizo hizi taasisi za mikopo pasua kichwa Sana.... Unaambiwa upeleke mpaka picha za watoto....
 
Umenyambua vizuri sana

Sent from my Infinix X653 using JamiiForums mobile app
 
Kabisa, hawa wakopeshaji wa mikopo umiza wanamsaidia Sana na mawakili, mahakimi na Saa zingine mapolisi

Sent from my Infinix X653 using JamiiForums mobile app
 
Hatima ya mdai vipi? Maana yupo kwenye makubaliano bado alipwe chake, na mtu uanwezaje kukopa pesa ya milioni 15 ukaweka dhamana nyumba ya milion 165 hizi ni akili ama
 
Kisheria hapa mdai akienda mahakamani ana hoja za kumlinda maana si waliingia mikataba ya ukopeshaji
 
Kama mkataba ulikua na stemp ya TRA hapo mkopwaji alikua na haki kutelekeza agizo lake, muwe mnapelekea mikataba yenu TRA kwa kuwalinda maana mambo ya kukopeshana mitaani ni ishu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…