TAKUKURU tafadhali vifuatilieni hivi Vilabu viwili vya Police Tanzania na KMC kwa Mechi zao za sasa

TAKUKURU tafadhali vifuatilieni hivi Vilabu viwili vya Police Tanzania na KMC kwa Mechi zao za sasa

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
GENTAMYCINE nimezoea kuona Rushwa na Makondakta wa Dala Dala kwa Matrafiki.

Ila hii Rushwa ya Kitaalam inayotolewa na Vilabu Viwili Police Tanzania na KMC vinavyopambana kutokushuka Daraja haivumiliki na itaharibu Mpira wetu.

TAKUKURU nawaombeni kamateni Simu za Viongozi wote wa Vilabu vya Police Tanzania na KMC na ya Kocha ( Carataker ) wa KMC Jamhuri Kihwelo naomba msiishie tu Kuikagua bali ikiwezekana nendeni TCRA mkaombe muisikilize na nawaomba sikilizeni hasa Mazungumzo yake na Simu kuanzia Juzi hadi Leo kisha mrejee hapa Kwangu mnishukuru na mnipe Tuzo na mnijengee Mnara wangu.

Mkimaliza hili nawaombeni sasa hamieni Kulikooza kabisa kwa Rushwa Ligi ya Championship ( Daraja la Kwanza ) huko najua hakuna ambaye hamtamkamata kwa Rushwa au Klabu ambayo hainunui / haijanunua Mechi.

Kuna Goli la Mechi Moja ya NBC Premier League limefungwa leo yaani hata kama GENTAMYCINE ningekuwa na Kitambi Kikubwa cha Bunju hadi Chanika kamwe nisingefungwa lile Goli hivyo basi nikiwa kama Mchezaji Mpira wa zamani ( siyo Ligi Kuu ), Mchunguzi Huru na Mchambuzi sioni Aibu kusema kuwa Timu iliyofungwa Ilihongwa na Timu iliyoshinda Imehonga.
 
GENTAMYCINE nimezoea kuona Rushwa na Makondakta wa Dala Dala kwa Matrafiki.

Ila hii Rushwa ya Kitaalam inayotolewa na Vilabu Viwili Police Tanzania na KMC vinavyopambana kutokushuka Daraja haivumiliki na itaharibu Mpira wetu.

TAKUKURU nawaombeni kamateni Simu za Viongozi wote wa Vilabu vya Police Tanzania na KMC na ya Kocha ( Carataker ) wa KMC Jamhuri Kihwelo naomba msiishie tu Kuikagua bali ikiwezekana nendeni TCRA mkaombe muisikilize na nawaomba sikilizeni hasa Mazungumzo yake na Simu kuanzia Juzi hadi Leo kisha mrejee hapa Kwangu mnishukuru na mnipe Tuzo na mnijengee Mnara wangu.

Mkimaliza hili nawaombeni sasa hamieni Kulikooza kabisa kwa Rushwa Ligi ya Championship ( Daraja la Kwanza ) huko najua hakuna ambaye hamtamkamata kwa Rushwa au Klabu ambayo hainunui / haijanunua Mechi.

Kuna Goli la Mechi Moja ya NBC Premier League limefungwa leo yaani hata kama GENTAMYCINE ningekuwa na Kitambi Kikubwa cha Bunju hadi Chanika kamwe nisingefungwa lile Goli hivyo basi nikiwa kama Mchezaji Mpira wa zamani ( siyo Ligi Kuu ), Mchunguzi Huru na Mchambuzi sioni Aibu kusema kuwa Timu iliyofungwa Ilihongwa na Timu iliyoshinda Imehonga.
Hizi mechi zilizo baki tutaona mengi mechi ya Mtibwa na Kagera lazina ndugu wabebane
 
Mechi ya Polisi na Mtibwa nilipoona matokeo nikajisemea hii lazima ni match fixing, lakini nilipoangalia msimamo wa ligi, nikaondoa dhana yangu mbaya kwa Mtibwa.
 
Mbona Simba alibebwa na Yanga ili Simba isishuke daraja?

Kubebwa kupo na hakujaanza leo.
 
Naunga mkono hoja. Hata yale magoli aliyofungwa simba na Azam kwenye nusu fainali ya ASFC, nayo yachunguzwe.

Haiwezekani kila inapotokea mechi kati ya simba vs Azam, basi Prince Dube lazima awafunge simba goli!
Kabisa mkuu, kuna hujuma hapa. Magoli alofungwa Simba yale mawili sio ya kufungwa kwa klabu bora inayoshirika Super League.

TAKUKURU imchunguze Dube na viongozi wa thimba.
 
Back
Top Bottom