DOKEZO TAKUKURU, TAMISEMI mje Karagwe - Kagera, Walimu Wakuu na Maafisa Elimu (Karagwe) wanaumiza wanaopewa tenda

DOKEZO TAKUKURU, TAMISEMI mje Karagwe - Kagera, Walimu Wakuu na Maafisa Elimu (Karagwe) wanaumiza wanaopewa tenda

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Kama kungekuwa na Nest hizo sijui nani asaini hazipo
Kwani NEST ni nini?

Mwisho wa siku anayekuja kukukagua na kukupa na kutokupa certificate ya ubora wa kazi ni Engineer.

Na hawa watu wana mafundi wao, usipokubaliana nao hata hiyo hutapata
 
Kwani NEST ni nini?

Mwisho wa siku anayekuja kukukagua na kukupa na kutokupa certificate ya ubora wa kazi ni Engineer.

Na hawa watu wana mafundi wao, usipokubaliana nao hata hiyo hutapata
Asante kwa elimu, nilidhani Nest imekuja kumaliza urasimu
 
Inapotokea kuna tenda Mkandarasi anapata inayohusu Shule fulani, ili uweze kupata tenda hiyo unatakiwa ukubali ufanye kazi kisha kabla ya kupata malipo yako, wewe Mkandarasi uwape Walimu Wakuu na Afisa Elimu ‘kitu flani’ ili malipo yako yaweze kupitishwa.
Hapa ndipo mnaharibu
What is kitu fulani?
 
Asante kwa elimu, nilidhani Nest imekuja kumaliza urasimu
Nest inakutanisha waombaji tu.

Ambao ni rahisi watu kufanya kimchongo tu.

Unakuta mzabuni mmoja, anaTIN number za wenzake kama 3 au 4 anajza na kuomba tenda hiyo hiyo kwa bei tifauti tofauti, na kabrasha moja kwa bei anayotarget. Hapo wameshapangana na Engineer. Unaona kuna wazabuni 3 wameomba kumbe ni mtu yule yule
 
Hapa Halmashauri ya Wilaya Karagwe, Mkoa wa Kagera kuna changamoto kubwa ya kukosekana kwa uadilifu na uwajibikaji unaofanywa hasa na Walimu Wakuu wa Shule pamoja na Ma-Afisa Elimu katika ngazi ya Shule za Msingi.

Inapotokea kuna tenda Mkandarasi anapata inayohusu Shule fulani, ili uweze kupata tenda hiyo unatakiwa ukubali ufanye kazi kisha kabla ya kupata malipo yako, wewe Mkandarasi uwape Walimu Wakuu na Afisa Elimu ‘kitu flani’ ili malipo yako yaweze kupitishwa.

Wakandarasi wanapokamilisha mradi au unapokuwa katika hatua fulani nzuri ukihitaji malipo, yanatakiwa yapite katika ngazi Tatu ikiwemo kwa Afisa Elimu na Mwalimu Mkuu.

Licha ya kuwa tenda kwa sasa zinatangazwa na Shule moja kwa moja na wale Wakandarasi wanazungumza na Walimu Wakuu lakini ukihitaji malipo wanakwambia “Afisa Elimu amekataa kusaini kwa kuwa hakuna fungu lake.”

Wale Wakandarasi wakienda kwa Afisa Elimu anawaambia “Mimi sijawapa tenda, nendeni kwa Walimu mliozungumza nao.”

Mkurudi kwa Mwalimu Mkuu anawaambia ukweli na kuwaonesha nyaraka kuwa mzigo haujasainiwa kwa kuwa Afisa Elimu bado “hajafurahi”.

Wakandarasi wakisema walipwe kisha watoe ‘kifuta jasho’ jamaa wanagoma kabisa, mara kadhaa wameamua kutoa mifukoni mwao ili kuona kama hilo litafanyika, wakishafanya hivyo tu malipo yanafanyika fasta.

Unakuta tenda zenyewqe sio za hela kubwa lakini hapohapo unatakiwa kugawana nao kitu ambacho kinawaumiza Wakandarasi.

Kwa umoja wetu tumeona sehemu sahihi ya kufikisha ujumbe wetu Serikalini hasa kwa TAKUKURU, Wizara ya Elimu, TAMISEMI pamoja na kwa Rais Samia Suluhu ni kupitia hapa Jamii Forums ili hatua zichukuliwe kwa kuwa wanaoumizwa na hali huyo ni wengi.

Kwa ufupi Watumishi wa Serikali hao wajuu wanatuumiza sana sisi Wakandarasi wadogo, na ukigoma kutoa ushirikiano kwanza kama unadai haupati hela zako na kama umeshalipwa ukaonekana unachonga haupati dili tena.

Risiti za malipo yote tunazo, tunasubiri TAKUKURU waoneshe ushirikiano tutawapa, pia kuna muda wanataka wapewe kifuta jacho mkononi tumewapiga picha pia, zote tuko tayari kuziwasilisha kwa Mamlaka wakizihitaji.
Unganeni kwenye harakati za kudai katiba mpya. Hao unaowapelekea malalamiko nao ni very corrupt tena kuliko hao waalim. Vinginevyo, mtaendelea kuumia.
 
Nest inakutanisha waombaji tu.

Ambao ni rahisi watu kufanya kimchongo tu.

Unakuta mzabuni mmoja, anaTIN number za wenzake kama 3 au 4 anajza na kuomba tenda hiyo hiyo kwa bei tifauti tofauti, na kabrasha moja kwa bei anayotarget. Hapo wameshapangana na Engineer. Unaona kuna wazabuni 3 wameomba kumbe ni mtu yule yule
Kama ndo hivyo upigaji hautakuja kuisha duniani.
 
Hapa Halmashauri ya Wilaya Karagwe, Mkoa wa Kagera kuna changamoto kubwa ya kukosekana kwa uadilifu na uwajibikaji unaofanywa hasa na Walimu Wakuu wa Shule pamoja na Ma-Afisa Elimu katika ngazi ya Shule za Msingi.

Inapotokea kuna tenda Mkandarasi anapata inayohusu Shule fulani, ili uweze kupata tenda hiyo unatakiwa ukubali ufanye kazi kisha kabla ya kupata malipo yako, wewe Mkandarasi uwape Walimu Wakuu na Afisa Elimu ‘kitu flani’ ili malipo yako yaweze kupitishwa.

Wakandarasi wanapokamilisha mradi au unapokuwa katika hatua fulani nzuri ukihitaji malipo, yanatakiwa yapite katika ngazi Tatu ikiwemo kwa Afisa Elimu na Mwalimu Mkuu.

Licha ya kuwa tenda kwa sasa zinatangazwa na Shule moja kwa moja na wale Wakandarasi wanazungumza na Walimu Wakuu lakini ukihitaji malipo wanakwambia “Afisa Elimu amekataa kusaini kwa kuwa hakuna fungu lake.”

Wale Wakandarasi wakienda kwa Afisa Elimu anawaambia “Mimi sijawapa tenda, nendeni kwa Walimu mliozungumza nao.”

Mkurudi kwa Mwalimu Mkuu anawaambia ukweli na kuwaonesha nyaraka kuwa mzigo haujasainiwa kwa kuwa Afisa Elimu bado “hajafurahi”.

Wakandarasi wakisema walipwe kisha watoe ‘kifuta jasho’ jamaa wanagoma kabisa, mara kadhaa wameamua kutoa mifukoni mwao ili kuona kama hilo litafanyika, wakishafanya hivyo tu malipo yanafanyika fasta.

Unakuta tenda zenyewqe sio za hela kubwa lakini hapohapo unatakiwa kugawana nao kitu ambacho kinawaumiza Wakandarasi.

Kwa umoja wetu tumeona sehemu sahihi ya kufikisha ujumbe wetu Serikalini hasa kwa TAKUKURU, Wizara ya Elimu, TAMISEMI pamoja na kwa Rais Samia Suluhu ni kupitia hapa Jamii Forums ili hatua zichukuliwe kwa kuwa wanaoumizwa na hali huyo ni wengi.

Kwa ufupi Watumishi wa Serikali hao wajuu wanatuumiza sana sisi Wakandarasi wadogo, na ukigoma kutoa ushirikiano kwanza kama unadai haupati hela zako na kama umeshalipwa ukaonekana unachonga haupati dili tena.

Risiti za malipo yote tunazo, tunasubiri TAKUKURU waoneshe ushirikiano tutawapa, pia kuna muda wanataka wapewe kifuta jacho mkononi tumewapiga picha pia, zote tuko tayari kuziwasilisha kwa Mamlaka wakizihitaji.
Acha uchonganishi.Kama umekutana na changamoto wewe binafsi kuwa specific.Taja ulihudumia shule gani, ulihudumia Nini, mkataba ulisemaje? Ukigeneralize unaharibu haiba ya watu hata wasiohusika.
 
NEST yenyewe ya mchongo ipo hivi wazabuni wanaweza kuwa na majina matatu kampuni akajaza kama kampuni tofautitofauti tena bei tofauti kumbe ni mtu mmoja.yani haya mavitu nikama zamani hati msako(koteshen) watu walikuwa wanajaza kotesheni tatu kwa mtu mmoja sema jamaa anakuwa na mihuri mitatu.

Wizi na rushwa haviwezi kuisha serikalini na private sector.
 
Kama ndo hivyo upigaji hautakuja kuisha duniani.
Siyo duniani.

Ni Tanzania hii hii, upigaji umehalalishwa. Nyingine ni kelele za kinafiki tu.

Hata hao TAKUKURU unaowaita hapa, wanakula mpaka rushwa za laki moja.
NEST yenyewe ya mchongo ipo hivi wazabuni wanaweza kuwa na majina matatu kampuni akajaza kama kampuni tofautitofauti tena bei tofauti kumbe ni mtu mmoja.yani haya mavitu nikama zamani hati msako(koteshen) watu walikuwa wanajaza kotesheni tatu kwa mtu mmoja sema jamaa anakuwa na mihuri mitatu.

Wizi na rushwa haviwezi kuisha serikalini na private sector.
Unakuta mtu mmoja anajaza quotation na mihuri mitatu.

  • Mmoja Dar es salaam
  • Mwingine Morogoro
  • Mwingine Manyara.

Kumbe ni mtu mmoja.

Akija CAG anatoa HATI SAAAFI.
 
Siyo duniani.

Ni Tanzania hii hii, upigaji umehalalishwa. Nyingine ni kelele za kinafiki tu.

Hata hao TAKUKURU unaowaita hapa, wanakula mpaka rushwa za laki moja.

Unakuta mtu mmoja anajaza quotation na mihuri mitatu.

  • Mmoja Dar es salaam
  • Mwingine Morogoro
  • Mwingine Manyara.

Kumbe ni mtu mmoja.

Akija CAG anatoa HATI SAAAFI.
Jaahaaa🤣🤣🤣🤣 ndio hivyo bosi wangu
 
Hapa Halmashauri ya Wilaya Karagwe, Mkoa wa Kagera kuna changamoto kubwa ya kukosekana kwa uadilifu na uwajibikaji unaofanywa hasa na Walimu Wakuu wa Shule pamoja na Ma-Afisa Elimu katika ngazi ya Shule za Msingi.

Inapotokea kuna tenda Mkandarasi anapata inayohusu Shule fulani, ili uweze kupata tenda hiyo unatakiwa ukubali ufanye kazi kisha kabla ya kupata malipo yako, wewe Mkandarasi uwape Walimu Wakuu na Afisa Elimu ‘kitu flani’ ili malipo yako yaweze kupitishwa.

Wakandarasi wanapokamilisha mradi au unapokuwa katika hatua fulani nzuri ukihitaji malipo, yanatakiwa yapite katika ngazi Tatu ikiwemo kwa Afisa Elimu na Mwalimu Mkuu.

Licha ya kuwa tenda kwa sasa zinatangazwa na Shule moja kwa moja na wale Wakandarasi wanazungumza na Walimu Wakuu lakini ukihitaji malipo wanakwambia “Afisa Elimu amekataa kusaini kwa kuwa hakuna fungu lake.”

Wale Wakandarasi wakienda kwa Afisa Elimu anawaambia “Mimi sijawapa tenda, nendeni kwa Walimu mliozungumza nao.”

Mkurudi kwa Mwalimu Mkuu anawaambia ukweli na kuwaonesha nyaraka kuwa mzigo haujasainiwa kwa kuwa Afisa Elimu bado “hajafurahi”.

Wakandarasi wakisema walipwe kisha watoe ‘kifuta jasho’ jamaa wanagoma kabisa, mara kadhaa wameamua kutoa mifukoni mwao ili kuona kama hilo litafanyika, wakishafanya hivyo tu malipo yanafanyika fasta.

Unakuta tenda zenyewqe sio za hela kubwa lakini hapohapo unatakiwa kugawana nao kitu ambacho kinawaumiza Wakandarasi.

Kwa umoja wetu tumeona sehemu sahihi ya kufikisha ujumbe wetu Serikalini hasa kwa TAKUKURU, Wizara ya Elimu, TAMISEMI pamoja na kwa Rais Samia Suluhu ni kupitia hapa Jamii Forums ili hatua zichukuliwe kwa kuwa wanaoumizwa na hali huyo ni wengi.

Kwa ufupi Watumishi wa Serikali hao wajuu wanatuumiza sana sisi Wakandarasi wadogo, na ukigoma kutoa ushirikiano kwanza kama unadai haupati hela zako na kama umeshalipwa ukaonekana unachonga haupati dili tena.

Risiti za malipo yote tunazo, tunasubiri TAKUKURU waoneshe ushirikiano tutawapa, pia kuna muda wanataka wapewe kifuta jacho mkononi tumewapiga picha pia, zote tuko tayari kuziwasilisha kwa Mamlaka wakizihitaji.

Maana yake mlivyowapa cha juu, wakawapa na risiti??Au mna ushahidi gani mwingine kwamba wamechukua cha juu??
 
Hapa Halmashauri ya Wilaya Karagwe, Mkoa wa Kagera kuna changamoto kubwa ya kukosekana kwa uadilifu na uwajibikaji unaofanywa hasa na Walimu Wakuu wa Shule pamoja na Ma-Afisa Elimu katika ngazi ya Shule za Msingi.

Inapotokea kuna tenda Mkandarasi anapata inayohusu Shule fulani, ili uweze kupata tenda hiyo unatakiwa ukubali ufanye kazi kisha kabla ya kupata malipo yako, wewe Mkandarasi uwape Walimu Wakuu na Afisa Elimu ‘kitu flani’ ili malipo yako yaweze kupitishwa.

Wakandarasi wanapokamilisha mradi au unapokuwa katika hatua fulani nzuri ukihitaji malipo, yanatakiwa yapite katika ngazi Tatu ikiwemo kwa Afisa Elimu na Mwalimu Mkuu.

Licha ya kuwa tenda kwa sasa zinatangazwa na Shule moja kwa moja na wale Wakandarasi wanazungumza na Walimu Wakuu lakini ukihitaji malipo wanakwambia “Afisa Elimu amekataa kusaini kwa kuwa hakuna fungu lake.”

Wale Wakandarasi wakienda kwa Afisa Elimu anawaambia “Mimi sijawapa tenda, nendeni kwa Walimu mliozungumza nao.”

Mkurudi kwa Mwalimu Mkuu anawaambia ukweli na kuwaonesha nyaraka kuwa mzigo haujasainiwa kwa kuwa Afisa Elimu bado “hajafurahi”.

Wakandarasi wakisema walipwe kisha watoe ‘kifuta jasho’ jamaa wanagoma kabisa, mara kadhaa wameamua kutoa mifukoni mwao ili kuona kama hilo litafanyika, wakishafanya hivyo tu malipo yanafanyika fasta.

Unakuta tenda zenyewqe sio za hela kubwa lakini hapohapo unatakiwa kugawana nao kitu ambacho kinawaumiza Wakandarasi.

Kwa umoja wetu tumeona sehemu sahihi ya kufikisha ujumbe wetu Serikalini hasa kwa TAKUKURU, Wizara ya Elimu, TAMISEMI pamoja na kwa Rais Samia Suluhu ni kupitia hapa Jamii Forums ili hatua zichukuliwe kwa kuwa wanaoumizwa na hali huyo ni wengi.

Kwa ufupi Watumishi wa Serikali hao wajuu wanatuumiza sana sisi Wakandarasi wadogo, na ukigoma kutoa ushirikiano kwanza kama unadai haupati hela zako na kama umeshalipwa ukaonekana unachonga haupati dili tena.

Risiti za malipo yote tunazo, tunasubiri TAKUKURU waoneshe ushirikiano tutawapa, pia kuna muda wanataka wapewe kifuta jacho mkononi tumewapiga picha pia, zote tuko tayari kuziwasilisha kwa Mamlaka wakizihitaji.
10% kwenye zabuni za serikali ni lazima
Unapopanga bei zingatia hilo
 
Siyo duniani.

Ni Tanzania hii hii, upigaji umehalalishwa. Nyingine ni kelele za kinafiki tu.

Hata hao TAKUKURU unaowaita hapa, wanakula mpaka rushwa za laki moja.

Unakuta mtu mmoja anajaza quotation na mihuri mitatu.

  • Mmoja Dar es salaam
  • Mwingine Morogoro
  • Mwingine Manyara.

Kumbe ni mtu mmoja.

Akija CAG anatoa HATI SAAAFI.
Hatari sana mkuu
Siyo duniani.

Ni Tanzania hii hii, upigaji umehalalishwa. Nyingine ni kelele za kinafiki tu.

Hata hao TAKUKURU unaowaita hapa, wanakula mpaka rushwa za laki moja.

Unakuta mtu mmoja anajaza quotation na mihuri mitatu.

  • Mmoja Dar es salaam
  • Mwingine Morogoro
  • Mwingine Manyara.

Kumbe ni mtu mmoja.

Akija CAG anatoa HATI SAAAFI.
Bado tuna safari ndefu
 
Back
Top Bottom