TAKUKURU: Uchaguzi wa viongozi wa chama cha Wafugaji Tanzania

Nyendo

JF-Expert Member
Joined
Jun 4, 2017
Posts
1,336
Reaction score
4,731
Tunafahamu kwamba hivi karibuni ndani ya mkoa wa Dodoma kutafanyika uchaguzi wa viongozi wa Chama cha wafugaji Tanzania. Mkutano huo umepangwa kufanyika siku ya Jumapili tarehe 19/07/2020 ambapo viongozi wa ngazi ya kitaifa wa chama hicho watachaguliwa kuongoza chama kwa miaka mitatu 03.

Nafasi za uongozi wa Kitaifa zitakazogombewa siku hiyo ni Mweneyekiti, Makamu Mwenyekiti, Katibu msaidizi na Mweka hazina na wajumbe wa kamati Tendaji.



 

Attachments

Hakikisheni wagombea wanamiliki ng'ombe au hata kuku tu. Asipite mtu aiehonga.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…