TAKUKURU waonesha Rushwa ya ngono ilivyokithiri vyuoni

TAKUKURU waonesha Rushwa ya ngono ilivyokithiri vyuoni

Huko TAKUKURU kwao hamna haya mambo? Maana hii huwa siri ya wahusika.
 
Sio kutoa ngono nakwambia hujakutana na hzo scenario zilivo so usione wanawake wanalalamika ukafikiria ni vichaa, shukuru hujakutana na hyo kadhaa na uombe Mungu isije mkuta mwanao au ndugu
Sasa si ndio akaripoti PCCB jamani!
Kulialia huku unaachia mzigo sijui kama kutasaidia.
 
Mimi naishi jirani na chuo kimoja jina kapuni. Marafki zangu wengi ni wahadhiri na mara nyingi nakua nao kwenye ulabu.

Ni kweli kwamba kuna cases za wahadhiri kutumia ubabe kupata ngono, ila in my opinion hizo ni very rare cases. Labda ni asilimia chini ya 5 ndio wanafanya hivyo. Ila kwa hali halisi ilivyo sasa, kwa necha ya mabinti wa vyuo, mhadhiri akitaka kula mwanafunzi hahitaji kutumia nguvu yoyote. Kwanza wanafunzi ndio wanapenda sana kuliwa na malecturer! Nakumbuka wakati tunasoma wanafunzi wakike walikua wanapigana vikumbo kutoka na malecturer huku wakija kujisifu darasani na kuonyesha picha za mitoko, zawadi na meseji wanazotumiana. Kwa jinsi navyoona ma lecturer walivyo na access ya wanawake wengi wanaowasumbua, ni nadra sana kumkuta anahangaika kufosi penzi la mwanafunzi.

Wewe ukitaka kujua aina ya wanafunzi wa vyuo tulio nao sasa, nenda kwenye night clubs. Wanafunzi ndio wateja wakuu wa sehemu za starehe kiasi kwamba kipindi vyuo vikifungwa (kama sasa) club kunadorora kabisa mpaka vifunguliwe tena. Ingia instagram kwenye page zao uone picha wanazopost humo. Mabinti wa vyuo wanapenda starehe kupita maelezo na wanaliwa na kila mtu sio wahadhiri tu, wanaliwa na bodaboda, madereva teksi, wapiga picha, wauza maduka ya nguo na vipodozi, wafanyakazi wa benki, wafanyabiashara, vigogo serikalini na mpaka sisi wenyewe mtaani huku ndio tunapoponea maana hawana gharama wale mradi uwe na usafiri mkali wa kwenda kum "pick" chuo.
Umemaliza kila kitu mkuu.
Na wauza chipsi pia wanawala utaongezea hapo.
Niliyotaka kusema yote umeyamaliza
 
Sasa si ndio akaripoti PCCB jamani!
Kulialia huku unaachia mzigo sijui kama kutasaidia.
Hao viumbe wanatetea na mifumo hata huyo mwanafunzi walimfukuza ili kumtetea mhadhiri
 
Sasa si ndio akaripoti PCCB jamani!
Kulialia huku unaachia mzigo sijui kama kutasaidia.

Mimi nakuambia mkuu kwa level ya teknolojia ilivyo sasa, kama ingekua ni kweli basi ungekuta kuna mamia ya kesi za aina hii mahakamani au huko PCCB maana hata ushahidi wa meseji tu si mtu anatiwa hatiani. Ukweli ni kwamba mabinti wa vyuo kweli wanaliwa sana lakini sio kwa kulazimishwa ni kwa ridhaa yao wenyewe.

We sema wanafunzi wengi wa vyuo wanapofeli ndio hua wanaanza kutafuta visingizio mara ooh mwalimu alinitaka nikamkataa.
 
Inasikitish sana...

Ila siku hizi hao wanafunzi wenyewe wanatengeneza mazingira ya kufaulishwa kirahisi rahisi mwisho wa siku wanafanywa...



Cc: mahondaw
 
Hivi jeshi la polisi nao wangekuwa wanafanya utafiti badala ya kukamata majambazi, wauaji na wabakaji si tungeisha wengi. Takukuru rushwa ni kosa la jinai msilete usanii na kula mishahara ya bure mnayolipwa thru tax payers monies. Kama chombo cha upelelezi tulitegemea mpeleke wapelelezi (ma undercover agents)vyuoni na kwingineko kupeleleza na kukamata wala rushwa ya ngono na nyinginezo., hadi wahalifu hao waogope, ila sasa watoa na wala rushwa hawaogopi hata kdg, wakijua Takukuru haina mkono mrefu.
 
Back
Top Bottom