Mimi naishi jirani na chuo kimoja jina kapuni. Marafki zangu wengi ni wahadhiri na mara nyingi nakua nao kwenye ulabu.
Ni kweli kwamba kuna cases za wahadhiri kutumia ubabe kupata ngono, ila in my opinion hizo ni very rare cases. Labda ni asilimia chini ya 5 ndio wanafanya hivyo. Ila kwa hali halisi ilivyo sasa, kwa necha ya mabinti wa vyuo, mhadhiri akitaka kula mwanafunzi hahitaji kutumia nguvu yoyote. Kwanza wanafunzi ndio wanapenda sana kuliwa na malecturer! Nakumbuka wakati tunasoma wanafunzi wakike walikua wanapigana vikumbo kutoka na malecturer huku wakija kujisifu darasani na kuonyesha picha za mitoko, zawadi na meseji wanazotumiana. Kwa jinsi navyoona ma lecturer walivyo na access ya wanawake wengi wanaowasumbua, ni nadra sana kumkuta anahangaika kufosi penzi la mwanafunzi.
Wewe ukitaka kujua aina ya wanafunzi wa vyuo tulio nao sasa, nenda kwenye night clubs. Wanafunzi ndio wateja wakuu wa sehemu za starehe kiasi kwamba kipindi vyuo vikifungwa (kama sasa) club kunadorora kabisa mpaka vifunguliwe tena. Ingia instagram kwenye page zao uone picha wanazopost humo. Mabinti wa vyuo wanapenda starehe kupita maelezo na wanaliwa na kila mtu sio wahadhiri tu, wanaliwa na bodaboda, madereva teksi, wapiga picha, wauza maduka ya nguo na vipodozi, wafanyakazi wa benki, wafanyabiashara, vigogo serikalini na mpaka sisi wenyewe mtaani huku ndio tunapoponea maana hawana gharama wale mradi uwe na usafiri mkali wa kwenda kum "pick" chuo.