The Sheriff
JF-Expert Member
- Oct 10, 2019
- 747
- 2,112
Mkurugenzi Mkuu wa TAKUKURU amefanya mabadiliko ya vituo vya kazi kwa baadhi ya viongozi na watumishi wa taasisi hiyo.
Mabadiliko hayo yamehusisha watumishi 6 wa TAKUKURU, watano kati yao wakitokea kwatika vituo vya kazi jijini Arusha.
====
Mkurugenzi wa Taasisi ya Kuzuia na Kupapambana na Rushwa, TAKUKURU amefanya mabadiliko ya vituo vya kazi kwa watumishi sita, watano kati yao wakiwa wa vituo vya Mkoa wa Arusha. Uhamisho huu ni wa kawaida kuimarisha utendaji
Watumishi waliohamishwa ni pamoja na Mkuu wa TAKUKURU Mkoa wa Arusha, Frida Wikesi, amehamishiwa makao makuu. James Ruge, Afisa Uchunguzi Mkuu aliyekuwa Makao Makuu amehamishiwa kituo cha Kaimu Mkuu Arusha
Mkuu wa TAKUKURU Wilaya ya Arumeru, Zawadi Ngailo, amehamishiwa Ofisi ya TAKUKURU Mkoa wa Arusha. Degratias Peter, Mkuu wa TAKUKURU Wilaya ya Siha amehamishiwa ofisi ya Mkuu wa TAKUKURU Wilaya ya Arumeru
Aidha, Mkuu wa TAKUKURU Wilaya ya Monduli, David Shirima amehamishiwa ofisi ya Mkuu TAKUKURU Wilaya ya Siha. Afisa Uchunguzi Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Mariam Mayaya amehamishiwa ofisi ya Mkuu wa TAKUKURU Wilaya ya Monduli
Mabadiliko hayo yamehusisha watumishi 6 wa TAKUKURU, watano kati yao wakitokea kwatika vituo vya kazi jijini Arusha.
====
Mkurugenzi wa Taasisi ya Kuzuia na Kupapambana na Rushwa, TAKUKURU amefanya mabadiliko ya vituo vya kazi kwa watumishi sita, watano kati yao wakiwa wa vituo vya Mkoa wa Arusha. Uhamisho huu ni wa kawaida kuimarisha utendaji
Watumishi waliohamishwa ni pamoja na Mkuu wa TAKUKURU Mkoa wa Arusha, Frida Wikesi, amehamishiwa makao makuu. James Ruge, Afisa Uchunguzi Mkuu aliyekuwa Makao Makuu amehamishiwa kituo cha Kaimu Mkuu Arusha
Mkuu wa TAKUKURU Wilaya ya Arumeru, Zawadi Ngailo, amehamishiwa Ofisi ya TAKUKURU Mkoa wa Arusha. Degratias Peter, Mkuu wa TAKUKURU Wilaya ya Siha amehamishiwa ofisi ya Mkuu wa TAKUKURU Wilaya ya Arumeru
Aidha, Mkuu wa TAKUKURU Wilaya ya Monduli, David Shirima amehamishiwa ofisi ya Mkuu TAKUKURU Wilaya ya Siha. Afisa Uchunguzi Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Mariam Mayaya amehamishiwa ofisi ya Mkuu wa TAKUKURU Wilaya ya Monduli