Uchaguzi 2020 TAKUKURU yaingilia kati rushwa za baiskeli na pikipiki anazogawa Hamis Kigwangalla Nzega Vijijini

CCM Mpya na rushwa haiwezekani, Kwao ni sawa na pumzi ya oxygen wakikataa rushwa pumzi itakata.

CCM Mpya bila rushwa zote iwe baiskeli, kanga, kofia, T-Shirt, kununua wanasiasa , kuhonga vyeo kutoa fursa kwa masharti n.k ndiyo mtindo wa kisasa wa CCM Mpya.
 
Takukuru wana wivu

wamejuaje kua ni rushwa

Kwani kupewa pikipiki ndo kumpigia kura
 
Mbona Rage walimkamata, huyu wanaishia kuzuia kugawa alafu basi?
 
Pole yake mr misifa
 
Duuu kwahiyo huyo msomali alisha ukana huo uraia wake hadi sasa amekuwa waziri
Kigwangalla ananikumbusha mwaka 2010 alipopitishwa na chama chake cha CCM kugombea ubunge kwenye hilo Jimbo la Nzega huku akiwa ameshika nafasi ya 3! nyuma ya Husein Bashe (Msomali) na Mbunge aliyekuwa akitetea kiti chake (Lucas Seleli)
 
Takukuru inabidi uinuliqe uwe muhimili wa 4 ili ufanye kazi vizuri
 
Kanda ya ziwa wacha nasi tutese maana ni zamu yetu, ila kwetu huku chigooma bado sana naona kama hatuonekani vizuri
Porojo tu hizo, huyu ni MTUME wa YESU wa Tanzania kama alivyo MTUME Lugola!
 
Kwani vyama vingine hawatoi rushwa
Mbona tunaona kofia na kanga zao mtaani
Je wewe ukipewa pikipiki na viongozi wako wa chama utopokea?
 
Hii Wizara sijui huwa inakaribisha ubwege! Huyu naye aliwarusha kichura askari wake! Yule aliyehamia CAHDEMA yeye aliishia kuwabeba askari wa kike! Jamani!
 
Lazima TAKUKURU waruke naye. Na ubunge anaweza kuukosa. Alipaswa akabithi hizo nyenzo kwa uongozi wa CCM taifa, na CCM ione inavyoweza kuzigawa. Alichokifanya ni rushwa pure!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…