Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huwa mnawakamata ila mwisho wao haujulikani !!! Vipi hule afisa wenu wa Tanga!??? Hilton Njau mmefikia wapi!??Duh huyo mwanamke ni jasiri sana,angekua maeneo kama Tanga sidhani kama angekamatwa. Huku ukimpeleka mtu Takukuru utashangaa anakueleza yote uliyoyasema huko.
Mh. Rais wazingue Takukuru Tanga ingawaje bosi wao alisimamishwa lakini mapandikizi yake yapo kibao. Ngoja niishie hapo maana naelekea kutaja majina ya wale vijana pale tena wote me na ke
Tanga wakamatwa leo waachiwa leoHuwa mnawakamata ila mwisho wao haujulikani !!! Vipi hule afisa wenu wa Tanga!??? Hilton Njau mmefikia wapi!??
Kwanza huyo aliyekamatwa nimtumishi wa mkoa gani?Hongera kwa Kamanda Mkuu wa TAKUKURU Pamoja na MAKAMANDA wote wa Mikoa na Wilaya kwa kudhamiria kwa dhati kupambana na RUSHWA.
Hakuna aliye Juu ya Sheria, ktk kipindi kifupi tumeshuhudia mnakamata wale ambao hawakutarajiwa kabisa....kweli sasa mmeamua.
Kamwe msiwaonee aibu wala rushwa, msitazame sura ya mtu au cheo chake. Tegeni Mitego ya kisasa mtawanasa wengi tu.
Rushwa ni adui wa Haki na pia ni adui wa maendeleo.
Tutashirikiana na TAKUKURU kuwafichua wala rushwa ili wakamatwe.
Tanga kunanii pale tanga 😀 ShadeeyaDuh huyo mwanamke ni jasiri sana,angekua maeneo kama Tanga sidhani kama angekamatwa. Huku ukimpeleka mtu Takukuru utashangaa anakueleza yote uliyoyasema huko.
Mh. Rais wazingue Takukuru Tanga ingawaje bosi wao alisimamishwa lakini mapandikizi yake yapo kibao. Ngoja niishie hapo maana naelekea kutaja majina ya wale vijana pale tena wote me na ke
Daah hao uhadilifu ziro kabisa ,mama atadeal nao haoDuh huyo mwanamke ni jasiri sana,angekua maeneo kama Tanga sidhani kama angekamatwa. Huku ukimpeleka mtu Takukuru utashangaa anakueleza yote uliyoyasema huko.
Mh. Rais wazingue Takukuru Tanga ingawaje bosi wao alisimamishwa lakini mapandikizi yake yapo kibao. Ngoja niishie hapo maana naelekea kutaja majina ya wale vijana pale tena wote me na ke
Wanatumia nguvu flani ya giza na yakufikirika kutoka kanda ya maji kule.Daah hao uhadilifu ziro kabisa ,mama atadeal nao hao
Sio kwamba hela yote hiyo ilikua yake,lahasha.Hapo alikuwa ashapiga hesabu ya kuvuta gari kali yard angeikwea hiyo m50
[emoji38][emoji38]
Ova
😀Hahahaa. Swahiba sijui huyo Mkuu kawaza nini aisee. 😀
Anatokea manyara MKUU,Kwanza huyo aliyekamatwa nimtumishi wa mkoa gani?
Sidhani kama atakua anatokea maeneo tulivu kwa rushwa kama halmashauri ya Ummy Mwalimu.
Ummy Mwenyewe ashalizwa na kikosi cha mkurugenzi Takukuru wakatulizwa
Rushwa ni adui wa haki
Mpigania haki amekua adui wa haki yeye.Rushwa ni adui wa haki
Mkuu haya mambo ya illuminati.