TAKUKURU yamkamata mtumishi wake Zainabu Mohamed Jabir kwa kuomba rushwa ya Tsh milioni 50

TAKUKURU yamkamata mtumishi wake Zainabu Mohamed Jabir kwa kuomba rushwa ya Tsh milioni 50

Leo ni Juvenal tu.

Quis custodiet ipsos custodes?

juvenal.jpg
 
Duh huyo mwanamke ni jasiri sana,angekua maeneo kama Tanga sidhani kama angekamatwa. Huku ukimpeleka mtu Takukuru utashangaa anakueleza yote uliyoyasema huko.

Mh. Rais wazingue Takukuru Tanga ingawaje bosi wao alisimamishwa lakini mapandikizi yake yapo kibao. Ngoja niishie hapo maana naelekea kutaja majina ya wale vijana pale tena wote me na ke
Huwa mnawakamata ila mwisho wao haujulikani !!! Vipi hule afisa wenu wa Tanga!??? Hilton Njau mmefikia wapi!??
 
Hongera kwa Kamanda Mkuu wa TAKUKURU Pamoja na MAKAMANDA wote wa Mikoa na Wilaya kwa kudhamiria kwa dhati kupambana na RUSHWA.

Hakuna aliye Juu ya Sheria, ktk kipindi kifupi tumeshuhudia mnakamata wale ambao hawakutarajiwa kabisa....kweli sasa mmeamua.

Kamwe msiwaonee aibu wala rushwa, msitazame sura ya mtu au cheo chake. Tegeni Mitego ya kisasa mtawanasa wengi tu.

Rushwa ni adui wa Haki na pia ni adui wa maendeleo.

Tutashirikiana na TAKUKURU kuwafichua wala rushwa ili wakamatwe.
 
Hongera kwa Kamanda Mkuu wa TAKUKURU Pamoja na MAKAMANDA wote wa Mikoa na Wilaya kwa kudhamiria kwa dhati kupambana na RUSHWA.

Hakuna aliye Juu ya Sheria, ktk kipindi kifupi tumeshuhudia mnakamata wale ambao hawakutarajiwa kabisa....kweli sasa mmeamua.

Kamwe msiwaonee aibu wala rushwa, msitazame sura ya mtu au cheo chake. Tegeni Mitego ya kisasa mtawanasa wengi tu.

Rushwa ni adui wa Haki na pia ni adui wa maendeleo.

Tutashirikiana na TAKUKURU kuwafichua wala rushwa ili wakamatwe.
Kwanza huyo aliyekamatwa nimtumishi wa mkoa gani?
Sidhani kama atakua anatokea maeneo tulivu kwa rushwa kama halmashauri ya Ummy Mwalimu.
Ummy Mwenyewe ashalizwa na kikosi cha mkurugenzi Takukuru wakatulizwa
 
Duh huyo mwanamke ni jasiri sana,angekua maeneo kama Tanga sidhani kama angekamatwa. Huku ukimpeleka mtu Takukuru utashangaa anakueleza yote uliyoyasema huko.

Mh. Rais wazingue Takukuru Tanga ingawaje bosi wao alisimamishwa lakini mapandikizi yake yapo kibao. Ngoja niishie hapo maana naelekea kutaja majina ya wale vijana pale tena wote me na ke
Tanga kunanii pale tanga 😀 Shadeeya
 
Duh huyo mwanamke ni jasiri sana,angekua maeneo kama Tanga sidhani kama angekamatwa. Huku ukimpeleka mtu Takukuru utashangaa anakueleza yote uliyoyasema huko.

Mh. Rais wazingue Takukuru Tanga ingawaje bosi wao alisimamishwa lakini mapandikizi yake yapo kibao. Ngoja niishie hapo maana naelekea kutaja majina ya wale vijana pale tena wote me na ke
Daah hao uhadilifu ziro kabisa ,mama atadeal nao hao
 
TAKUKURU wakiamua kutega mitego yao vyema na kwa umakini watawanasa wengi sana, haswa wakongwe wa kula rushwa.
waendelee tu na utaratibu huu walio anza nao, angalu kero za rushwa zitapungua.
 
Kwanza huyo aliyekamatwa nimtumishi wa mkoa gani?
Sidhani kama atakua anatokea maeneo tulivu kwa rushwa kama halmashauri ya Ummy Mwalimu.
Ummy Mwenyewe ashalizwa na kikosi cha mkurugenzi Takukuru wakatulizwa
Anatokea manyara MKUU,
 
Back
Top Bottom