Aibu tu unaona mafisadi wanavyonyakuliwawatajuana wenyewe
Acha kiherehere weweYule mama wa Maabara Kuu ya Afya ya jamii, namshauri akimbie nchi, watambambikia kesi ya kufia jela! Maadamu wanaojua haki wanajua nini kinaendelea hapa, watampokea kama mkimbizi wa kisiasa!
Kama mbowe alivyopiga billion 8.9Yaani watu wanaendelea kupiga hata zama hizi zinazosemekana wamedhibiti kila dili.
Hivi ile 1.5 trillion iliishia wapi? Au huo sio upigaji?Yaani watu wanaendelea kupiga hata zama hizi zinazosemekana wamedhibiti kila dili.
Na sahizi mtu akipata mpenyo anapiga kweli maana akibainika kinachofuata anakijuaYaani watu wanaendelea kupiga hata zama hizi zinazosemekana wamedhibiti kila dili.
Ataondokaje man na ndege za kwenda nje hazijaanza? Pia ukute walishampokonya paspoti the same dayYule mama wa Maabara Kuu ya Afya ya jamii, namshauri akimbie nchi, watambambikia kesi ya kufia jela! Maadamu wanaojua haki wanajua nini kinaendelea hapa, watampokea kama mkimbizi wa kisiasa!
anasepa kwa miguu mpaka Kenya, hao watampokea baadaye anakwenda EuropeAtaondokaje man na ndege za kwenda nje hazijaanza? Pia ukute walishampokonya paspoti the same day
watajuana wenyewe
habari za Geita mkuu , huko ndio wanakotokea wale waabudu mtu huku nchi ikikosa ajira kwa miaka 5 na hakuna nyongeza za mishahara , kule hela ya tetemeko ikiliwa mchana kweupe !Ndo maneno mliyobakiza baada ya chama chenu kukosa muelekeo. Sijui kampeni ikianza wananchi mtatuambia Nini chakueleweka. Longlive my President jpm