Saint Ivuga
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 54,762
- 59,204
MSD wanapiga sana mpunga
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Halafu unapoongea jarbu Sana kuepuka kuongelea nafsi za watu.. Kama wewe ndo huna Cha kufanya(ajira) Ni wewe Ila wenzio tuna ajira na ndo Maana hatupotezi muda kuilaumu serikali kuhusu ajira.habari za Geita mkuu , huko ndio wanakotokea wale waabudu mtu huku nchi ikikosa ajira kwa miaka 5 na hakuna nyongeza za mishahara , kule hela ya tetemeko ikiliwa mchana kweupe !
Vp Ile kesi ya kigogo wa takukuru aliyekuwa na viwanja 200 na nyumba 60 imeishia wapiwatajuana wenyewe
Vp kesi ya yule jamaa wa takukuru ambaye alikuwa Anamiliki viwanja 200 na nyumba kama 60 imeishia wapiAibu tu unaona mafisadi wanavyonyakuliwa
Vp yule boss wa pride walimdakaKama mbowe alivyopiga billion 8.9
Huyo HR Director kwanza alimfanya hawara yake na wakashirikiana kunyanyasa watu pale MSD na kupiga hela kwa mikataba mibovu.Wale msd kigogo wao wamepiga sana pesa za magumashi kuanzia mwenyekiti wa tenda, mkurugenzi manunuzi ,mkuu wao wote fisadiz tu, Ajira hr zimekaa kimipango na huyo bosi wao hr director kakaa sana kwenye post hiyo hadi hana jipya, wanaishi kimazoea wataacha kuiba kweli?na kupanga yake.