Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna uwezekano mgombea wa cdm alipanga hili jambo na NAPEHata uchaguzi bado,kampeni bado,anahongaje ili atangazwe kushindwa?!!
Hizi mbinu za kummaliza asigombee tena!!
Mi naona hapo tuna ' ardhi tu"Aliwahi kusema marehemu Mwalimu Nyerere kwamba ili tuendelee tunahitaji
1. Watu
2. Ardhi
3. Siasa safi
4. Uongozi bora
Bado hatujaendelea. Sijui nini hapo kimekosekana na suluhisho lake ni nini?
Mahakama gani imethibitisha mkuu? Halafu atangazwe kwani wakati anatoa rushwa alikuwa ameteuliwa na NEC tayari? CCM bwana ni kama vile hawajawahi kutawala, ni full hofu na panic. Asante Lissu kwa ujio wako na tutakupa kura tukoe magugu haya ya kijani kwenye taifa letuDah huu ssa ndo unaitwa upofu. Yaani mtu katoa rushwa kabisa na imethibitika, lakini eti bado anatetewa. CCM ndo inayoonekana imemfanyia mchezo, basi inaonekana huko CDM watu wote ni malaika hakuna binadamu.
Kutoa ushahidi sio kuthibitisha wewe lumumba type, anayethibitisha ni mahakama.Unaongea upumbavu halafu unajiona una akili. Waliposema watamfikisha mahakamani unahisi wanaenda kuthibitisha kitu gani?
Yaani bora hata huko CCM kuna wajinga lakini huko Chadema kuna mazuzu.
Yote haya mwisho wake ni October 2020. Huu huonevu wa wazi kabisa lazima Watanzania kwa pamoja tuseme basi!!Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) mkoani Lindi imemkamata na inamshikilia mgombea ubunge wa jimbo la Mtama kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo ( CHADEMA), Seleman Luwongo kwa tuhuma ya kutaka kumpa rushwa ofisa uchaguzi wa halmashauri ya Mtama...
Acha kukurupuka nawwe. Nilichokua namaanisha TAKUKURU waliposema wanampeleka mahakamani maana yake walikua wanakwenda kuiachia mahakama uamuzi kwa mhusika kulingana na ushahidi iliyonayo.Kutoa ushahidi sio kuthibitisha wewe lumumba type, anayethibitisha ni mahakama.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23][emoji3][emoji3][emoji3]ufipa sacco
Tutaona Mengi sana mwaka huu,serikali Haina pesa ya kuendesha uchaguzi,sasa ni kucheza rafu,majimbo Mengi yapite bila kupingwa!!!Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) mkoani Lindi imemkamata na inamshikilia mgombea ubunge wa jimbo la Mtama kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo ( CHADEMA), Seleman Luwongo kwa tuhuma ya kutaka kumpa rushwa ofisa uchaguzi wa halmashauri ya Mtama...
Bado sijapata mantiki ya hii hoja.
Yaani amtangaze mshindi kivipi wakati kura zitapigwa na kuhesabiwa mbele ya mawakala wa vyama shiriki?!!
Tuliposema CCM ifute vyama vyote vingine ibaki yenyewe tulikuwa na maana kubwa. Kwa tamaa yao ya madaraka na vyeo wanatengeneza sumu kubwa huku chini ambayo itaangamiza taifa na utaifa wetu.Hata uchaguzi bado,kampeni bado,anahongaje ili atangazwe kushindwa?!!
Hizi mbinu za kummaliza asigombee tena!!