Uchaguzi 2020 TAKUKURU yamshikilia mgombea wa ubunge kupitia CHADEMA jimbo la Mtama kwa tuhuma za kutoa rushwa ili atangazwe kuwa mshindi

Jinga wewe kama wamesema watamfikisha mahakamani ni kwanini sasa umedai Takukuru wamethibitisha hilo kosa kutendeka? Ona ulivyo mpumbavu? Matukio mangapi Takukuru wamekamata watu lakini leo wapo tu uraiani? Acha upumbav
Kule mtera jimboni kwa Livingston Lusinde kibajaji rafiki wa ndungai na mtukufu alishikwa na cash mkononi na picha video live zikionyesha lakini Takukuruccm hawakufanya chochote
 
Kumbe yawezekana kweli mzee wasira walimhongea akashindwa na bulaya, kwa hili la mtama tumefumbua macho tuko chonjo sana
Umejifumbua macho kwa lipi? Ebu tumia hata Akili yako ndogo ya kufulia chupi yako, kesi za kutengeneza kesi za kuwabambikia wapinzani kwa kushirikiana na Takukuruccm ndipo zikufungue macho wewe kipofu?
 
Hiki chama kimejaa watoa Rushwa Sana,

Chadema mnatia aibu mno.
Aibu ipi? Kesi za kubambikiwa ndiyo Aibu? CCM ndiyo imejaa Rushwa acheni kuwahujumu chadema kishamba hivyo
 
CCM hutengeneza kesi za kuwabambikia wapinzani pasipo kutafakari kabla na huwa hawajui kuwa kuna mungu pia na ataweza kufunua mbinu zao chafu za kishetani kushirikiana na Takukuruccm kuwabambikia kesi wapinzani ni kitendo kibaya sana Nape Tutaenda kukushitakia kwa baba yako mzee mwandosya
 
Hao wanaitwa majasiri. Yani hata kampeni bado unaweka mazingira salama. Kama ni kweli basi huyo ni mkali.
Kesi ya kubambikiwa hiyo Hakuna cha Rushwa wala nini bali Takukuruccm wamejitoa fahamu kufanya uonevu
 
Takukuruccm muogopeni mungu acheni kufanya kazi kwa mujibu wa watumishi wa CCM, fanyeni kazi kwa mujibu wa katiba na Sheria na endapo mtaendelea kuwabambikia kesi wapinzani mjiandae kusomewa Albadiri kwani hakuna mabaya yasiyo na mwisho.
 
Dah huu ssa ndo unaitwa upofu. Yaani mtu katoa rushwa kabisa na imethibitika, lakini eti bado anatetewa. CCM ndo inayoonekana imemfanyia mchezo, basi inaonekana huko CDM watu wote ni malaika hakuna binadamu.
CCM hata mje na utetezi gani hakuna wa kuwaamini hizo Tabia zenu za kuwabambikia kesi wapinzani zipo Nchi nzima hilo hakuna ubishi
 
Kura hazijapigwa eti rushwa itolewe ili atangazwe mshindi ! Takukuru sikilizeni , hata kama watanzania ni mabwege lakini si wa kudanganywa kijinga namna hiyo
 
Hivi si ni hii hii ile TAKUKURU iliyokabidhi vyesi vyote vya rushwa ccm vishughulikiwe huko tena wapo kwa chadema. Kesi ya kutengeneza haina mashiko
 


Ukifikiri vizuri unaona kabisaa Ni mbinu ya kitoto imetumika.
 
Dah huu ssa ndo unaitwa upofu. Yaani mtu katoa rushwa kabisa na imethibitika, lakini eti bado anatetewa. CCM ndo inayoonekana imemfanyia mchezo, basi inaonekana huko CDM watu wote ni malaika hakuna binadamu.
Hapo mtama kuna figisu za kutosha kutoka kwa NAPE , huyu mgombea amekamatwa akiwa anahakiki fomu zake ofisi ya tume, kwahiyo hakukabidhi fomu.

Mgombea wa ACT alirejesha fomu alirejesha fomu tar 25 .08.2020 lakini ofisi zilifungwa toka asubuhi hadi jioni kwahiyo hakukabidhi fomu.

Ni njama za kujinga na kihuni
 
Dah! Kumbe ilivyokua?! Mbona Suleiman Methew hakusema hayo?
 
Nadhani anataka akiwa kapata Kura nyingi wasimwekee figisu na wamtangaze tuu.. alikua anajaribu kufanya booking ya haki yake.
 
Usikimbilie tu kuweka comment...tathimini kuhusu maelezo ya tukio lenyewe..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…