Uchaguzi 2020 TAKUKURU yamshikilia mgombea wa ubunge kupitia CHADEMA jimbo la Mtama kwa tuhuma za kutoa rushwa ili atangazwe kuwa mshindi

Kati ya taasisis ya Kwanza kuundwa upya baada ya TL ukuingia ikulu Ni Takukuru.Takukuru Ni tawi la ccm
 
Takukuru wameogopa rushwa ya ccm wanatuletea ngonjera
 
It is too stupid to be true!
 
Hata uchaguzi bado,kampeni bado,anahongaje ili atangazwe kushindwa?!!

Hizi mbinu za kummaliza asigombee tena!!
Hakuna kitu hapo. Pesa hiyo ni ya CCM. Kasingiziwa huyo. Walimkamata wakati anamuhonga msimamizi? Au msimamizi ndiye aliyesema kwa TAKUKURU kuwa kahongwa? Waache utoto.
 
Chami ambaye alikuwa sambamba na mkuu wa TAKUKURU wa mkoa wa Mtwara, Enock Ngailo
Huyu ndugu yangu ananiaibisha....eti nayeye ANATHIBITISHA🙄
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…