Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Chaguzi zote zilikuwa hivo hivo, hawa ni danganya toto. TAKUKURU nitaiamini kama watakuwa wame mhoji Rukuvi make ndiye alikuwa wa kwanza kugawa pikipiki, Rostam, Karamagi. May be hawa ni wana mtandao?
PCCB endeleeni :fish2: wote hadi waishe tunataka uchaguzi safi mwaka huu
Wanabodi, nikiwa ni miongoni mwa tuliotoa tongo tongo kidogo kwenye fani ya sheria, hawa PCCB wanacheza makida makida tuu, hizo evidence wanaojidai dai kuzikamata kama viashiria vya rushwa ni very weak avidence. Kezi zote watakazozifikisha mahakamani, nadhani zitafuta siku hiyo hiyo ya kuandikishwa, na kwa kuanzia, sidhani kama DPP atatoa kibali zifunguliwe, hakuna kesi zozote hapo, ni kuchafuliana majina tuu na hii ndio picha ya ukweli jinsi CCM mzima ilivyo, na ambao hawajashikwa, msijipe matumaini kuwa wao ndio wasafi, ni wachafu tuu, tena wengine wachafu zaidi,Mambo ya CCM kutumia fedha kwa kujipatia uongozi yanaendelea kujidhihirisha. Kwa sasa PCCB ina mshikilia Mh.Mrema na mabalozi kadhaa kwa tuhuma za rushwa.....nitawaletea habari kamili baadaye kwani mpaka sasa bado wanahojiwa.
Halafu washtakiwa watafungua kesi za madai na serikali itaingia bonge la hasara....?Kezi zote watakazozifikisha mahakamani, nadhani zitafuta siku hiyo hiyo ya kuandikishwa, na kwa kuanzia, sidhani kama DPP atatoa kibali zifunguliwe, hakuna kesi zozote hapo, ni kuchafuliana majina tuu na hii ndio picha ya ukweli jinsi CCM mzima ilivyo, na ambao hawajashikwa, msijipe matumaini kuwa wao ndio wasafi, ni wachafu tuu, tena wengine wachafu zaidi,
Halafu washtakiwa watafungua kesi za madai na serikali itaingia bonge la hasara....?
Malaria sijui yuko wapi leo aje atoe mchango wake tuusikie kuhusu waccm wanavyokamatwa na takukuru
Mkuu, Felix Mrema si mwana mtandao?Hongereni sana wana-mtandao, najua mtaweza kuwang'oa wote ila iko siku nguvu ya UMMA itawaondoa nanyi pamoja na JK wenu.
Wanashindwa nini kuwaacha hawa wanaowakisia kuwa wana lengo la kutoa rushwa kwa kuwafanyia timing na kuwajulisha police ili wakamatwe wakiwa wanatoa rushwa hizo??!
Wanashindwa nini kuwaacha hawa wanaowakisia kuwa wana lengo la kutoa rushwa kwa kuwafanyia timing na kuwajulisha police ili wakamatwe wakiwa wanatoa rushwa hizo??!
hilo siyo lengo lao, lengo ni kutoa onyo tu.. vinginevyo wakiwakamata officially wataharibu upigaji kura j'pili. Ndiyo maana hadi hivi sasah akuna anayepelekwa mahakamani. Maagizo ni kutumia "preventive measures" kuwaambia tu kuwa wanajua kinachoendelea.