johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Nakala iwafikie wana JF wote popote walipo .Takukuru mkoani Dodoma imesimamisha uvhunguzi uliokuwa unaendelea dhidi ya aliyekuwa mbunge wa Mtera Livingstone Lusinde aka Kibsjaj baada ya kukosekana ushahidi wa rushwa.
Source Azam tv!
Na hicho ndio kitaua ccm kwenye uchaguzi huu , Majina ya mfukoniAmri toka juu
Yalikuwa ni maigizo ili waonekane wanafanya kazi bila upendeleo, Kesi ya Lugola imeishia wapi hata Lugumi?TAKUKURU mkoani Dodoma imesimamisha uchunguzi uliokuwa unaendelea dhidi ya aliyekuwa mbunge wa Mtera Livingstone Lusinde aka Kibajaj baada ya kukosekana ushahidi wa rushwa.
Source Azam tv!
Matapeli tu hakuna loloteTAKUKURU eti nayo inaongozwa na meja General wa jeshi. Kama siyo uhuni ni nini? Chadema ambako walikosa ushahidi awamu ya kwanza wameanzisha uchunguzi mwingine ila kwa maccm hakunaga ushahidi hata siku moja na hawajawahi kukutwa na rushwa!
....but kwa wabunge wa Chadema pamoja na kukosa ushahidi wa rushwa TAKOKURU (sorry I meant TAKOKURU) bado wanaendelea na uchunguzi!TAKUKURU mkoani Dodoma imesimamisha uchunguzi uliokuwa unaendelea dhidi ya aliyekuwa mbunge wa Mtera Livingstone Lusinde aka Kibajaj baada ya kukosekana ushahidi wa rushwa.
Source Azam tv!
Mbuyu unawezakuwa ulishamwagiwa madumu ya tindikali.Na hicho ndio kitaua ccm kwenye uchaguzi huu , Majina ya mfukoni
Angalikuwa Chadema wangekomaa naye hadi ashindwe kugombea ubunge. Mhe. Nchambi naye vipi?View attachment 1507419
TAKUKURU mkoani Dodoma imesimamisha uchunguzi uliokuwa unaendelea dhidi ya aliyekuwa mbunge wa Mtera Livingstone Lusinde aka Kibajaj baada ya kukosekana ushahidi wa rushwa.
Source Azam tv!
Livingstone Lusinde (Kibajaji) adakwa live na TAKUKURU nyumbani kwake akigawa rushwa kwa wajumbe wa CCM