Gudboy
JF-Expert Member
- Aug 14, 2009
- 867
- 82
huko hata matumizi ya kondom ni kwa kuazimana, wenyewe wanaita kifanyio, akitumia huyu anafua then kesho anaazima mwingine, kwa style hii tutapona kweli?
pili hao wanafunzi wameshindwa kuwajua waliowapa mimba labda kutokana na kutowahi kufanya tendo lenyewe, kwani ndjia ya kupata mimba ni lazima iwe kwa kufanya ngono? je unajuaje kama wamepata hizo mimba kwa kuoga mtoni? mathalani kuna mto ambao upande unakotokea maji wanaoga wanaume then upande yanakoelekea maji wanaoga wasichana, unafikiri kama wanaume wakipiga puli je hawa wa huku chini si ni rahisi sana kupata mimba
pili hao wanafunzi wameshindwa kuwajua waliowapa mimba labda kutokana na kutowahi kufanya tendo lenyewe, kwani ndjia ya kupata mimba ni lazima iwe kwa kufanya ngono? je unajuaje kama wamepata hizo mimba kwa kuoga mtoni? mathalani kuna mto ambao upande unakotokea maji wanaoga wanaume then upande yanakoelekea maji wanaoga wasichana, unafikiri kama wanaume wakipiga puli je hawa wa huku chini si ni rahisi sana kupata mimba