Kimsingi nataka kufananisha Mbeya na Arusha kwa sababu nimeishi katika mikoa yote miwili. Najua kuhusu utajili wa vivutio vya utalii kwa upande wa Arusha kama mbuga za wanyama, utamaduni hasa wa Kimasai, Olduvai n.k. lakini Mbeya japo huwezi kuifananisha na Arusha binafsi kwa mtazamo wangu naona kuna uwezekano wa kutumia vivutio vilivyopo kuuendeleza utalii. Kwa mfano kuna Matema beach kule Kyela, Kimondo(meteorite), bonde la ufa, Lake Ngosi (juu ya mlima), kuna maporomoko n.k. Tatizo ni kwamba maneno ya mdomoni tu huwa hayana uzito kwenye research wataalam wanataka ushahidi wa takwimu za kuaminika.kwakuwa unafanya research nakuomba ufuatilie ni vivutio gani vilivyoko mikoa iliyoendelea then ufuatilie kama mikoa isiyoendelea haina au la,japo vivutio vilivyoko arusha si necessarily viipsishe pia mbeya kiutalii.mbeya inaweza ikibuka bila serengeti national park,mlima kilimanjaro n.k.by the way,do u want to assess tourism development in,say,in mbeya and arusha or,say,assess tourism statistics between mikoa iliyoendelea na isiyoendelea?.....