Wadau wa JF,
Naomba kuuliza je ninapotaka kufahamu kuhusu takwimu mbalimbali za utalii Tanzania nitazipataje? Hivi sasa nipo nje ya nchi kimasomo na takwimu hizo ni kwa ajili ya research. Hapa nataka kufananisha kati ya mikoa iliyoendelea kiutalii na ile ambayo iko nyuma (mfano Arusha na Mbeya) na tofauti inaletwa na nini. Kama kuna mtu/watu wenye ufahamu na hili naomba msaada wao tafadhali
Naomba kuuliza je ninapotaka kufahamu kuhusu takwimu mbalimbali za utalii Tanzania nitazipataje? Hivi sasa nipo nje ya nchi kimasomo na takwimu hizo ni kwa ajili ya research. Hapa nataka kufananisha kati ya mikoa iliyoendelea kiutalii na ile ambayo iko nyuma (mfano Arusha na Mbeya) na tofauti inaletwa na nini. Kama kuna mtu/watu wenye ufahamu na hili naomba msaada wao tafadhali