Shujaa Mwendazake
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 4,016
- 6,759
Jumla ya wakuu wa wilaya walioteuliwa na RAIS Samia ni 139:
11 ni Ph.D sawa na 8%
26 ni Masters sawa 19%
95 ni Bachelor Degrees sawa na 68%
3 ni Diploma sawa na 2%
4 ni ACSEE na CSEE sawa na 3%
95 Wanaume sawa na 68%
44 Wanawake sawa na 32%
Vijana wapo 28 sawa na 20%
Waliowahi kuwa wakuu wa wilaya wako 83.
Hivyo wapya katika uteuzi ni 56 (literally mean, walioachwa ni 56 (wale DCs wa zamani)
Katika kundi hilo la 'kuachwa' kuna watu kama Simon Ezekiel Odunga, Lengai Ole Sabaya, Richard Kasesela, Msafiri Mtemi na wenzao
11 ni Ph.D sawa na 8%
26 ni Masters sawa 19%
95 ni Bachelor Degrees sawa na 68%
3 ni Diploma sawa na 2%
4 ni ACSEE na CSEE sawa na 3%
95 Wanaume sawa na 68%
44 Wanawake sawa na 32%
Vijana wapo 28 sawa na 20%
Waliowahi kuwa wakuu wa wilaya wako 83.
Hivyo wapya katika uteuzi ni 56 (literally mean, walioachwa ni 56 (wale DCs wa zamani)
Katika kundi hilo la 'kuachwa' kuna watu kama Simon Ezekiel Odunga, Lengai Ole Sabaya, Richard Kasesela, Msafiri Mtemi na wenzao