Takwimu Peter Shalulile Vs FK Mayele

Takwimu Peter Shalulile Vs FK Mayele

Ulitaka Yanga akutane na timu zipi ili uamini kuwa wameshinda kwa uwezo wao na sio ngekewa. Kubali Yanga amejipanga na generally mpira wa TZ umekua.
Hakuna sehemu nipiyo sema haijajipanga.

Yanga alitolewa hatua za awali kwenye kilabu bingwa kwasababu hakupata bahati ya kukutana na timu kaliba ya akina Marumo .
 
Kosa ni la yanga kwa kutolewa kwenye mashindano yenye timu za maana na kutupiwa kwenye kombe lililo jaa vibonde.
Haya msamehe bure

Akichukia Hilo kombe si utamsamehe!!?
 
Sawa dunduka unaumia ukiwa wapi [emoji23][emoji23][emoji23]
Sasa mm niumie hali ya kuwa hatua iliyo ifikia timu yako mwaka huu ,Simba imesha fika miaka 30 iliyo pita tena kwa kushindana na timu za maana na sio vibonde vinavyo shuka daraja.
 
Hakuna sehemu nipiyo sema haijajipanga.

Yanga alitolewa hatua za awali kwenye kilabu bingwa kwasababu hakupata bahati ya kukutana na timu kaliba ya akina Marumo .
Kupitia hoja yako, tukisema Simba alienda group stage kwasababu alipewa team type ya marumo ndomana akafuzu itakuwa ni sahihi?? Hoja zako ulizotoa hapa zote hazina mashiko

Ili ucheze confederation cup ni either ulikuwa bingwa kwenye Ligi yako ukaenda CL then ukadrop ukaenda CC, au ulikuwa nafasi ya pili kwenye league yako au ulikuwa bingwa wa kombe la FA ya kwenu na ili hayo yote yatokee lazima uwe bora so huwezi kusema Yanga hajakutana na team Bora

Us monastir anatokea Tunisia na alifanya vizuri Sana kwenye Ligi Yao yenye teams kama Es Tunis, Etoil Du Sahil, African tena league Yao ipo juu ya Ligi ya Tz

Tp Mazembe alikuwa bingwa wa league Yao ya Congo last season, Kwa mujibu wa CAF Ligi ya Congo ilikuwa no 5, ya Tz no 6 kabla Young Africans hajaingia final na huyu Mazembe ni Giant wa soka la Africa nyuma ya Ahly

Real Bamako, club African, wote walifanya vizuri kwenye league zao the same Kwa Rivers Utd ambae kabla hajakutana na Young Africans alikuwa hajapoteza game ya kimataifa pale kwao, hata Wydad alikufa bao 2 pale

Marumo gallants alicheza final ya FA kwao, mbele ya giants kama Kaizer chiefs na Orlando pirates, nadhani utakubaliana na mm kwamba ili uweze kuwa outshine hao ma giants wa south lazima uwe bora

So hoja yangu ni kwamba Young Africans haijatembelea bahati bali ni uwezo na ubora wa kikosi Chao, kuanzia management, benchi la ufundi na players wote Kwa ujumla na wamejitoa kweli kweli

Ukisema ni bahati means team yao ni mbovu tu sasa swali la kujiuliza ni hili, inakuwaje team ambayo mnaona ni bora iruhusu Young Africans ambayo ni ya kawaida tu ibebe ubingwa mbele Yao???

Ifike mahali tukubali tu kuwa kwenye football hakuna janja janja bali ni uwekezaji na usimamizi imara wa uwekezaji wako

Kila la heri Young Africans, The real dreamer, dreams about the impossible

Outcrop Rock
Mwamba kipara
 
Mayele Vs Peter Shalulile Stats .

Dstv PL

[emoji1176] Peter Shalulie mabao 12

NBC PL

[emoji1078]Fiston Mayele mabao 16

[emoji1176]Shalulile CCL mabao 5

[emoji1078]Fiston Mayele CAFCC mabao 6

So far Hawa ndio washambuliaji hatari kusini mwa jangwa la Sahara.

View attachment 2627780

View attachment 2627781
Sasa unafananishaje mtu anayefunga magoli kwenye ligi ya mabingwa na huyo wa luzaz kapu?

Tulishakubaliana goli tatu za luzaz sawa na shot on target ya mabingwa[emoji3578]
 
Hawezi pata namba hata katika timu ya wanawake ya ARSENAL TULA
Madunduka mna kazi sana msimu huu, Kwanza mnafanya kazi gani hapa? Hamna shughuli yyt bora mrudi vijijini mkavune mahindi, Haya kula chuma hiko

IMG_20230429_200940.jpg
 
Ulitaka Yanga akutane na timu zipi ili uamini kuwa wameshinda kwa uwezo wao na sio ngekewa. Kubali Yanga amejipanga na generally mpira wa TZ umekua.
Hukupaswa kuuliza hilo swali maana unajua yanga alitolewa na nani CAFCL

Ukiassess hiyo mechi dhid ya Al hilal ambaye hata hivyo aliishia makundi utagundua kuwa yanga hawakupata nafasi za kutosha kufunga mabao kama ilivyokuwa walipohamishiwa CAFCC. Pia ufikirie mlima aliokutana nao Al hilal kwenye group stage

Niungane na wewe kusemankuwa Kwa kiasi Fulani mpira wetu umekuwa ila bado kufikia ushindani bado sana, masandawana wenyewe wameshindwa kuuvunja mfupanwa ushindani wa soka afrika Kwa miaka kadhaa sasa

Pia kumbuka hii

Mazembe
Monastriene
Rivers

Hao wote walitolewa CAFCL na marumo ndo huyo kaishia zake daraja la chini kuthibitisha ubovu wake
 
Back
Top Bottom