Analogia Malenga
JF-Expert Member
- Feb 24, 2012
- 5,108
- 10,191
Wizara ya Afya imetangaza vifo vilivyotokana na janga la Corona vimefikia 714 huku maambukizi yakiwa 25,674 tangu kuripotiwa kwa ugonjwa huo hadi kufikia Septemba 20
Watu 4,355 wamelazwa huku 80 kati yao wakiwa ICU. Watumishi wa Afya walioripotiwa kuwa na maambukizi ni 3,276
Muitikio wa kupata chanjo umetajwa kuwa changamoto, ambapo hadi sasa ni watu 357,585 ndio waliopata chanjo
Watu 4,355 wamelazwa huku 80 kati yao wakiwa ICU. Watumishi wa Afya walioripotiwa kuwa na maambukizi ni 3,276
Muitikio wa kupata chanjo umetajwa kuwa changamoto, ambapo hadi sasa ni watu 357,585 ndio waliopata chanjo