#COVID19 TAKWIMU: Vifo vya COVID-19 Tanzania vyafikia 714 hadi Septemba 20, 2021

#COVID19 TAKWIMU: Vifo vya COVID-19 Tanzania vyafikia 714 hadi Septemba 20, 2021

Wapike kwa faida gani wakati itakimbiza watalii? Watu elfu 24 kuugua na zaidi ya watu elfu 20 kati yao kupona kabisa huoni ni jambo la kheri?

Kma hoja ni hela? Madhara ya Covid 19 kiuchumi yanakupata hta kma hauna wagonjwa so bado misaada ukiomba utapewa tu.

Kma wamepika then sio ni kwa faida gani hasa coz ina madhara kuliko faida
Mkuu, watalii na mikopo, wachague watalii? Nchi yenye corona na magaidi, watalii watafuata nini?

714, kweli kabisa mkuu? Ni sawa na 0.00119% ya waTz wote.

25,000 + , kabisaa? = 0.043% ya watu wote hapa Tz.
Namba hizo kwa takribani miaka mitatu yaani?

Ebu watupe listi ya magonjwa yanayoua zaidi hapa TZ kwa mwaka na idadi ya wanaokufa, angalau magonjwa 10 hatari zaidi.

Tulisubiri kuona watu watakavyodondoka kwa idadi ya kutisha kama walivyosema baada ya ile Kili Marathon, ikawa kimya, tukaambiwa game za Simba na Yanga, subiri matokeo, zimepigwa game 3 zilizojaza full full, kimya! Ina maana huu ugonjwa hauambukizi? Watu 25,000 kwa vifo 714 tu?
 
Record za kupika hakuna ukweli
Kabisa. Mimi niliugua nikaenda hizo hospital zao walizosema ni teuzi Kwa Corona eti kote wakasema hawaoni tatizo. Kesho yake nikapoteza taste na smell na Hali ikaanza kuwa mbaya. Bahati nzuri huko nyuma nilipewa namba ya Dr mmoja yuko Kinondoni nikawasiliana naye nikaenda fasta na kuanza sindano za vains na dawa nyinginezo. Yaani sitasahau ushenzi wa Daktari hospital zote mbili kinga ilikuwa imeshuka kwa few points na Platelets pia na HCT ilikuwa juu mno lakini haikukua ni tatizo.
Hivyo najua data yangu haikuingia huko kwa data za kupikwa. Wanaougua na kutibiwa mitaani ni wengi mno kuliko wanaozidiwa na kulazwa au pia hata kupimwa. Mimi nilipimwa kabla na baada kuangalia kama kirusi amekwisha zake.
 
Takwimu hizi ni za uwongo. Tatizo ni kubwa kuliko takwimu.

Ndufu yangu aliugua Covid 19, mwezi huu mwanzoni, alitakiwa kuwekwa ICU, nafasi haikupatikana ICU. Tulizunguka hospitali zote kubwa kutafutayenye nafasi ICU, haikupatikana. Hospitali zote kubwa Dar, ICU zilikuwa zimejaa, na tuliambiwa over 90% walikuwa ni wagonjwa wa covid 19.

Tunamshukuru Mungu na madaktari, ndugu yetu amepona.
 
Wizara ya Afya imetangaza vifo vilivyotokana na janga la Corona vimefikia 714 huku maambukizi yakiwa 25,674 tangu kuripotiwa kwa ugonjwa huo hadi kufikia Septemba 20

Watu 4,355 wamelazwa huku 80 kati yao wakiwa ICU. Watumishi wa Afya walioripotiwa kuwa na maambukizi ni 3,276

Muitikio wa kupata chanjo umetajwa kuwa changamoto, ambapo hadi sasa ni watu 357,585 ndio waliopata chanjo

View attachment 1954850
Mbona worldometer ya WHO hadi sasa haioneshi hizo takwimu ulizozinukuu? Hadi tarehe 27 September 2021 Jumla ya kwa Tanzania ni maambukizi ni 1,368 na vifo ni 50 tu tangia gonjwa hili lianze mwaka 2020.

 
Aliyependekeza bungeni kwamba TAKWIMU ZIFICHWE sasa hivi ametunukiwa uwaziri wa fedha .

Nakulilia Tanzania
 
Daah! Kitu cha moja kinatafutwa kwa udi na ivumba

Mimi nasimama upande wa la![emoji16][emoji16]
 
Mkuu, watalii na mikopo, wachague watalii? Nchi yenye corona na magaidi, watalii watafuata nini?

714, kweli kabisa mkuu? Ni sawa na 0.00119% ya waTz wote.

25,000 + , kabisaa? = 0.043% ya watu wote hapa Tz.
Namba hizo kwa takribani miaka mitatu yaani?

Ebu watupe listi ya magonjwa yanayoua zaidi hapa TZ kwa mwaka na idadi ya wanaokufa, angalau magonjwa 10 hatari zaidi.

Tulisubiri kuona watu watakavyodondoka kwa idadi ya kutisha kama walivyosema baada ya ile Kili Marathon, ikawa kimya, tukaambiwa game za Simba na Yanga, subiri matokeo, zimepigwa game 3 zilizojaza full full, kimya! Ina maana huu ugonjwa hauambukizi? Watu 25,000 kwa vifo 714 tu?
Corona sio permanent huwa inasambaa kwa wimbi.... Likishapiga wanaopona haya wanaokufa haya kma ile february ilivyokua. Na ndio maana hta chanjo wanataka tuchanje kma maandalizi ya wimbi la 3, so kwa ssa Covid imepoa kitambo tu maana wimbi lilishapita toka July hivi.

Kingine kuna wagonjwa asymptomatic yaani hata akiugua haoneshi dalali hadi anapona hajui kma aliwahi ugua.

Kingine vifaa vya kupima covid havipo nchi nzima so mtu anaweza ugua akadhani labda ana malaria tu hadi ana recover. So namba yaweza kuwa kubwa ila tatizo hatupimi that's why ni ngumu kujua wagonjwa walikua wangapi.

Hizo figures ni wale waliokua hospitalized pekee ndio maana wakaingia kwa rekodi za wizarani.

Data hazijapikwa sababu hazina faida yoyote kupika. Yaani ukisema kuna wagonjwa wengi wa corona unafaidika na nni?? Yaani kwanini wapike???

Issue ni kwamba pesa za corona tungezipata tu hta kma tungekua hatuna mgonjwa maana athari za covid zipo kwenye biashara na ajira/sekta ya utalii n.k so hatuhitaji kusema tuna wagonjwa ili tupate mikopo. It's irrelevant
 
Corona sio permanent huwa inasambaa kwa wimbi.... Likishapiga wanaopona haya wanaokufa haya kma ile february ilivyokua. Na ndio maana hta chanjo wanataka tuchanje kma maandalizi ya wimbi la 3, so kwa ssa Covid imepoa kitambo tu maana wimbi lilishapita toka July hivi.

Kingine kuna wagonjwa asymptomatic yaani hata akiugua haoneshi dalali hadi anapona hajui kma aliwahi ugua.

Kingine vifaa vya kupima covid havipo nchi nzima so mtu anaweza ugua akadhani labda ana malaria tu hadi ana recover. So namba yaweza kuwa kubwa ila tatizo hatupimi that's why ni ngumu kujua wagonjwa walikua wangapi.

Hizo figures ni wale waliokua hospitalized pekee ndio maana wakaingia kwa rekodi za wizarani.

Data hazijapikwa sababu hazina faida yoyote kupika. Yaani ukisema kuna wagonjwa wengi wa corona unafaidika na nni?? Yaani kwanini wapike???

Issue ni kwamba pesa za corona tungezipata tu hta kma tungekua hatuna mgonjwa maana athari za covid zipo kwenye biashara na ajira/sekta ya utalii n.k so hatuhitaji kusema tuna wagonjwa ili tupate mikopo. It's irrelevant
Kwahiyo tuhitimishe kwa kusema, sio ugonjwa tishio na hauhitaji ulazima wa chanjo, angalau kwa sisi! Kuna nchi yeyote huu ugonjwa umeua zaidi ya asilimia 2 ya population yote kwa miaka yote uliokuwepo?

Ulaya wana Jab zao kila msimu wa mafua unapoingia, anayetaka anagonga na asiyetaka anaacha, unalipia, ni biashara rasmi kwa muda mrefu, kisa mafua ambayo sisi huku hatujui kama ni ugonjwa, watauita majina yote ila ni mafua tu, si lazima tufanane kwenye magonjwa tu.
 
Back
Top Bottom