#COVID19 Takwimu: Watu 9 kati ya 10 wanaofariki kwa COVID-19 UK na Canada wamechanjwa tena zaidi ya mara moja

kwa hiyo wasiochanjwa wameweza stahimili zaidi ama walichukua tahadhari zilizotolewa (kunawa mikono, sanitize, distance, more fruits less bia etc?).
 
Wasiochanja ;
Hawapo kwenye hatari kubwa ya kupata maambukizi mapya

Hawapo kwenye hatari ya kupata madhara yatokanayo na chanjo.

Hawapo kwenye hatari kubwa ya kufa na COVID 19.
kwa hiyo wasiochanjwa wameweza stahimili zaidi ama walichukua tahadhari zilizotolewa (kunawa mikono, sanitize, distance, more fruits less bia etc?).
 
Kiongozi hamna dawa ambayo Haina side effect Duniani,iwe ARV,iwe nin side effect zipo tu.na sio kwamb wat wote ambao wapo vaccineted na chanjo ya COVID-19 watapata izo side effect
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…