Igombe fisherman
JF-Expert Member
- Apr 28, 2017
- 2,178
- 3,865
Tatizo ni 9/10 hivyo kwa haraka ukichanja tunakuwa na uhakika wa kufa kwa 90% na usipochanjwa unakuwa na uhakika wa kufa kwa 10%Kiongozi hamna dawa ambayo Haina side effect Duniani,iwe ARV,iwe nin side effect zipo tu.na sio kwamb wat wote ambao wapo vaccineted na chanjo ya COVID-19 watapata izo side effect