Takwimu ya bodi ya mikopo mwaka huu hii hapa

Takwimu ya bodi ya mikopo mwaka huu hii hapa

Jamani nisaidieni...udsm lini wanafungua chuo? Form za ku'comfirm tayari zimetoka? Ni shilingi ngapi?
 
Naombeni msaada tarehe ya kufungua Udsm, kwa mwenye taarifa,natanguliza shukrani.
 
Naombeni msaada tarehe ya kufungua Udsm, kwa mwenye taarifa,natanguliza shukrani.
ndugu, hata mimi nina shida hiyohiyo. Cjajua ni lini...naomba ukipata jibu nitumie PM.
 
Huyu Lubambula Machunda kumbe bado yupo? aisee huyu mkulu niligombana nae sana miaka ile bado wizara ya elimu ya juu inashughulika na mikopo moja kwa moja kabla ya kuwepo loan board, alikuwa mnoko na mbabaishaji, sishangai hata huko loan board efficincy yao ni zero kwa kuwa na watu kama huyu.

Ningependa kufahamu utaratibu wa kupata mikopo kwa wale waliochaguliwa kwa "equivalent" entry nao wamepata mikopo na majina yao yametoka ama bado "michakato" inaendelea??

wakati nipokuwa udsm tulifanya kikao naye council chamber akatupa 20000 ili kutuziba midomo baada ya siku 2 tukapiga mgomo
 
Back
Top Bottom