Huyu Lubambula Machunda kumbe bado yupo? aisee huyu mkulu niligombana nae sana miaka ile bado wizara ya elimu ya juu inashughulika na mikopo moja kwa moja kabla ya kuwepo loan board, alikuwa mnoko na mbabaishaji, sishangai hata huko loan board efficincy yao ni zero kwa kuwa na watu kama huyu.
Ningependa kufahamu utaratibu wa kupata mikopo kwa wale waliochaguliwa kwa "equivalent" entry nao wamepata mikopo na majina yao yametoka ama bado "michakato" inaendelea??