Takwimu ya bodi ya mikopo mwaka huu hii hapa

Jamani nisaidieni...udsm lini wanafungua chuo? Form za ku'comfirm tayari zimetoka? Ni shilingi ngapi?
 
Naombeni msaada tarehe ya kufungua Udsm, kwa mwenye taarifa,natanguliza shukrani.
 
Naombeni msaada tarehe ya kufungua Udsm, kwa mwenye taarifa,natanguliza shukrani.
ndugu, hata mimi nina shida hiyohiyo. Cjajua ni lini...naomba ukipata jibu nitumie PM.
 

wakati nipokuwa udsm tulifanya kikao naye council chamber akatupa 20000 ili kutuziba midomo baada ya siku 2 tukapiga mgomo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…