Kweli kabisa mbumbumbu mwezangu [emoji1]Hakika akili zako ni za kiutopolo.
Ww hivi unamjua chama kweli uliwahi kucheza nae uwanjani...mm nilimkaba nikaumbuka ....huyo aziza atasubili sana kwa huyu mwamba...mbingu na ardhi
Ndo uyo uyoWe ni nani mkuu[emoji18][emoji18][emoji18][emoji23]au nanii???
ubora ww mchezaj haupimwi kwa match mbili au moja kuna kitu kwenye soccer kinaitwa upepo wa msimu.Ana bao 4 na 'assist' 3, halafu ukiangalia kwa jicho la tatu msimu ndiyo kwanza unaanza. Tuliposema Aziz Ki ni bora kuliko Chama watu walibisha sasa, mpira ni takwimu.
Na takwimu za Azizi Ki ndiyo hizi, jamaa siyo kwamba tu anafunga na kutoa 'assist' ila anafunga na kutoa 'assist' kwenye mchezo muhimu.
Tuendelee kutunza takwimu mwisho wa msimu tutajua nani bora kati ya Aziz ki na Chama.
Mpira ni Takwimu!
Kwa mtoa post si ajabu akatokea Mandonga akashinda mapambano mawili matatu akamlinganisha na Myweather!Chama anacheza CAFCL . Aziza anacheza CAFcc ( kombe la waliofeli) . Halafu unataka kuwalinganisha kweli?
Sent from my Infinix X612 using JamiiForums mobile app
Ki kashindwa kucheza kule ivory coast ni wakawaida mnoChama alishindwa kucheza Morocco kwa Berkane ina maana mpira wake ni wa kawaida sana.
Ki ametoka Ivory coast akiwa ndo MVP, think twiceKi kashindwa kucheza kule ivory coast ni wakawaida mno
Kwani chama hajawai kuwa MVP?Ki ametoka Ivory coast akiwa ndo MVP, think twice
Alikuwa, one of the best player in NBC premier LeagueKwani chama hajawai kuwa MVP?