Ndiomaana wakakandwa mbili bila?Walikuwa na mechi kubwa dhidi ya Rivers ile hawakuipa kipaumbele
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndiomaana wakakandwa mbili bila?Walikuwa na mechi kubwa dhidi ya Rivers ile hawakuipa kipaumbele
Yah! Waliowakanda wakachukua ubingwaaNdiomaana wakakandwa mbili bila?
Ila wamekandwaYah! Waliowakanda wakachukua ubingwaa
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
[emoji23][emoji23][emoji23]ila "muda wote" inatumika vibaya sanaInonga ni mchezaji bora wa muda wote...huyo Bacca mpeni muda
Nawakachukua ubingwaIla wamekandwa
Mbona mshindi wa cafcc anapamba na mshindi wa caf champions league kupata mshindi wa super cup ?Shirikisho la waliofeli vs caf klabu bingwa timu zenye ushawishi Afrika na duniani
Nguvu moja
Wanomiliki akili ni hao [emoji111]... Tangu Bacca aanze kucheza kwenye kikosi cha Yanga kwenye michuano ya CAFCC, Yanga hawajaruhusu bao !! [emoji119]
[emoji1241] Yanga 2 - 0 Bamako [emoji1159]
[emoji1241] Yanga 2 - 0 Monastir [emoji1249]
[emoji1078] TP Mazembe 0 - 1 Yanga [emoji1241]
[emoji1184] Rivers 0 - 2 Yanga [emoji1241]
[emoji1241] Yanga 0 - 0 Rivers [emoji1184]
[emoji1241] Yanga 2 - 0 Marumo [emoji1221]
06 - Games
06 - Cleansheets [emoji357]
» Yanga imekuwa klabu ya kwanza kwenye mashindano ya CAF 2022/23 kutoruhusu bao kwenye michezo (6) mfululizo [emoji419]
NB ; Kuanzia group stage mpaka sasa Yanga wameruhusu mabao (4) tu, na mabao yote walifungwa Bacca akiwa benchi !!!
[emoji1249] US Monastir 2 - 0 Yanga [emoji1241]
[emoji1241] Yanga 3 - 1 TP Mazembe
[emoji1159] Bamako 1 - 1 Yanga [emoji1241]
NB ; Bonge moja la defender [emoji91][emoji91]
#timuyawananchi
#yangayangudaima
#pageniyakomwananchi