OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
umefika wakati maji yameanza kujitenga na mafuta 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unapotoa takwimu unaweza kuonekana upo sahihi, ninaamini ukimwambia mwalimu wa simba pale yanga anamtamani mchezaji gani naamini hakosi kumtaja Mayele, na inawezekana mwalimu wa yanga asimtamani Kibu Denis.
Mayele si hatari jamani....Kulinganisha mayele na kibu ni ku kosea mayele adabu
Kibu bado saana mayele bado mgeni kwenye league wewe subiri league raundi ya pili
Kwa hiyo kufunga goli ukiwa mgeni ni "vigumu mno"?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kulinganisha mayele na kibu ni ku kosea mayele adabu
Kibu bado saana mayele bado mgeni kwenye league wewe subiri league raundi ya pili
Umeelewa lakini? Hizo takwimu hazijasema ligi kuu pekee.Makolo huwa mnafikiri bila vichwa ligi iko raundi ya Tisa hizo mechi 10 Mayele kafikisha lini?
Basi Kibu Denis ni bora kuliko MayeleView attachment 2058407
umefika wakati maji yameanza kujitenga na mafuta [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
sijui akili hua hawanaMakolo huwa mnafikiri bila vichwa ligi iko raundi ya Tisa hizo mechi 10 Mayele kafikisha lini?
Round ya pili mnayoisubiri ndio atazidi kuwa takataka kabisaKulinganisha mayele na kibu ni ku kosea mayele adabu
Kibu bado saana mayele bado mgeni kwenye league wewe subiri league raundi ya pili
Kwahio goli la Mayele kwenye Ngao ya hisani hamkiliona?Umeelewa lakini? Hizo takwimu hazijasema ligi kuu pekee.
Kwa hiyo alivyowatoboa kwenye ngao ya jamii hamhesabu,au yalikuwa mazoeziUmeelewa lakini? Hizo takwimu hazijasema ligi kuu pekee.
Kwa hiyo kufunga goli ukiwa mgeni ni "vigumu mno"?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mfungaji Bora (Top Scorer) wa ligiNini cha ajabu? Kwani kuna mashindano?
Tutajie top score wa ligi sass hivi ni nani?Mfungaji Bora (Top Scorer) wa ligi