Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimeshangaa sana leo kusikia Kibu Dii ana goli 3 ligi kuu!Kibu denis
Tupe Takwimu Zake mkuu.
Kibu ana goli Moja tu ligi kuu alilofunga vs yanga kwenye 5-1... Hana goli lingineNimeshangaa sana leo kusikia Kibu Dii ana goli 3 ligi kuu!
Kobul ni msanii kama wallivo wasanii wengine.Kibu ana goli Moja tu ligi kuu alilofunga vs yanga kwenye 5-1... Hana goli lingine
😅😅😅Na tukienda deep tukisema tuufanye huu mjadala kuwa mpana tukaamua kujadili mechanism ya hayo magoli magoli kwa kina namna yalivyo patikana tutaona namna mayele alivyokua akibustiwa na favour ya refa
Mimi nawaambieni wana yanga wenzangu huyu mayele mpaka msimu unaisha akikaa vibaya atakuwa ameachwa gape kubwa ya magoli na onyango.
Kapoteza soko si tishio tena kwenye derby tunapata mashaka kwenye round ya pili ambayo sisi ndio wenyeji tutamtumia nani kama tishio ili kuwapa morale mashabiki
Upepo wa mayele umekata ghafla kama ule ulio mpitiaga mzee mpili, nahisi kuna haja ya kutowapigia promo wachezaji wetu kwa kuwajaza bichwa ili kuwafanya wasipotee haraka.
Hana la kusema, mchezaji wake katimiza mwaka wa pili bila kufunga kwenye ligiTusubiri mhasibu atueleze mengi kumhusu Kibu.
Hapa ndo zaidi ya uchungu😆Takwimu za Kibu D vs Ibrahimu Bacca zinatia uchungu.
Hakuna cha ITAJULIKANA..Itajulikana
Sasa hapa mshindani kashaondokagaHakuna cha ITAJULIKANA..
huyu wa jambazi wa HUKU aache BANGI...na ikibidi akapimwe kipimo cha madawa ya kuongeza nguvu.