adriz
JF-Expert Member
- Sep 2, 2017
- 12,207
- 26,521
Nilimsahau Scars "Onyango atamzidi Mayele magoli"Ningependa kuwaaga rasmi sitokuwa natoa updates tena katika huu uzi na najitoa rasmi kuanzia leo ,naona maji yameshajitenga na mafuta. Nachukua fursa kuomba radhi kama nilikwaza katika kipindi chote cha Takwimu.
Cc : OKW BOBAN SUNZU Shadeeya Tate Mkuu Dr Matola PhD kelphin