Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]oyMechi ya kirafiki ya watanzania waishio Washngton Dc kati ya mashabiki wa Yanga na simba imeleta sintofahamu baada ya simba kuchezesha raia wa Nigeria, Ghana, Kenya nk
Source. Start Tv habari
Karibu mkuuAisee [emoji15][emoji15]
Ha ha haUna amini Mayele ana miaka 29?
Tuwe tu wakweli, hivi ukimuangalia mke wa Mayele kweli unaweza kuamini kaolewa na kijana mwenye umri wa miaka 29Ha ha ha
Tufanye 50 kibu yeye ni dogo tu ana 15.Una amini Mayele ana miaka 29?
Kwahiyo sasa tumehamia kwa mkewe tunaomba na mke wa kibudengaTuwe tu wakweli, hivi ukimuangalia mke wa Mayele kweli unaweza kuamini kaolewa na kijana mwenye umri wa miaka 29
AahaaaaKwahiyo sasa tumehamia kwa mkewe tunaomba na mke wa kibudenga
Yuko wapi?Tuwe tu wakweli, hivi ukimuangalia mke wa Mayele kweli unaweza kuamini kaolewa na kijana mwenye umri wa miaka 29
Basi tuamini ana umri sawa wa miaka 30 na Kepteni wetu John Bocco. Hapo vipi! Imekaa sawa?Tuwe tu wakweli, hivi ukimuangalia mke wa Mayele kweli unaweza kuamini kaolewa na kijana mwenye umri wa miaka 29
For the first time nmeona huu uzi, jamaa yangu ameniangusha sanaKaribu mkuu
Hii ndio tafsiri halisi ya shabiki lia liaTakwimu zitaendelea au uzi ufungwe
Kwamba natakiwa nikomenti unayo penda wewe right?Hii ndio tafsiri halisi ya shabiki lia lia
Hapana ila mi nafurahia hii hali ya jinsi mashabiki mnavyojitokeza kwa namna nafsi zenu zinawasukuma kuziongelea timu zenuKwamba natakiwa nikomenti unayo penda wewe right?
Mimi ni Simba lia lia zaidi yakoHapana ila mi nafurahia hii hali ya jinsi mashabiki mnavyojitokeza kwa namna nafsi zenu zinawasukuma kuziongelea timu zenu
Imeisha hyooNasemaje takwimu zitaendelea hukohuko Pyramid alikoenda mayele