Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bado sijaona Bora saidoooIla tuweni wakweli Mayele ana Takwimu za kukerrra bana. [emoji23][emoji23]
Hahahaaa! Kama namuona anavyopita kimya kimya lakini yakimshinda anaanza kumwaga Dislikes. 😅😅😅Kwako OKW BOBAN SUNZU mchambuzi uchwara toka madunduka FC...
Mayele mfungaji bora, mchezaji bora💛💚
Yanga mnatumika kuharibu mjadala wa bandari. Unanisumbua wakati nafuatilia bandariHahahaaa! Kama namuona anapitaga kimya kimya yakimshinda anaanza kumwaga Dislikes. 😅😅😅
Mtani OKW BOBAN SUNZU njoo tuweke hizi takwimu vizuri bana.
Hahahaaa! Kama namuona anavyopita kimya kimya lakini yakimshinda anaanza kumwaga Dislikes. [emoji28][emoji28][emoji28]
Mtani OKW BOBAN SUNZU njoo tuweke hizi takwimu vizuri bana.
Wahi CAS haiwezekani huu ni uhuniSaido alistahili kwanza kafunga magoli kwenye Club mbili tofauti.
Hiyo inaonesha uwezo binafsi aa mchezaji katika kufunga bila kutegemea Quality ya wachezaji wengine ambao watamsaidia kufanikisha lengo.
Mayele angecheza kwenye Club kama Geita asingeweza kutoka na magoli yale ambayo Saido alifunga.
Pili, Saido ni Attacking Midfielder. Hakai eneo la mwisho, huyu role yake ya kwanza ni ku supply mipira kwa Strikers hivyo kuona anakupa double profit hicho sio kitu kidogo.
Tatu ameonesha ni mchezaji ambaye anaweza kufunga katika mazingira yeyote, Mayele sijui kama alishawahi kupiga freekick.
Mayele penati tu ilimshinda.
Lakini Saido kaonesha makali kwenye kila department na tena kaimaliza eneo lake kaanza kutifua na kwenye maeneo ya Strikers ambapo huko sio kwake.
Akija mniiteDj mlete OKW BOBAN SUNZU. [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Amepata ng'ong'oso😂😂😂Speaking of Kibu, hivi toka ateleze kama Drogba amepatwa na nini?
Msamehe sasa [emoji16][emoji1787]Mayele!
Hapana ni mpera mperaMsamehe sasa [emoji16][emoji1787]
Hakuna mchezaji pale ila kitendo cha kuifunga Yanga kasha washika akiliSpeaking of Kibu, hivi toka ateleze kama Drogba amepatwa na nini?
Bangala na Tshabalala walihusika kwenye mabao mangapi?MVP wa mchongo, mchezaji ambaye amehusika kwenye mabao 20 anakuwaje MVP mbele ya mchezaji mwenye 31 goals involvement?
Una factor nyingine unayoweza kuiweka hapa inayoonesha Mayele amestahili kuwa MVP, tukaijadili?
Nimecheka kwa uchungu mzito sana.Dj mlete OKW BOBAN SUNZU. 🤣🤣🤣
Amepata kichaka cha bandari anajificha hukoDj mlete OKW BOBAN SUNZU. [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sisi Team Mayele tunamwambia haisaidii na mwisho wa siku hiko kichaka kitaungua tu.Amepata kichaka cha bandari anajificha huko
Na mpambe wake sicarizi😂😂Dj mlete OKW BOBAN SUNZU. 🤣🤣🤣
nakumbusha tu samahani lakini kwa kukumbusha