Takwimu za Kibu D Vs Mayele zinatia uchungu

Takwimu za Kibu D Vs Mayele zinatia uchungu

Pona pona ya mleta uzi na huu uzi wake ni pale Mayele atakapoihama Yanga. 😂😂
 
Saido alistahili kwanza kafunga magoli kwenye Club mbili tofauti.

Hiyo inaonesha uwezo binafsi aa mchezaji katika kufunga bila kutegemea Quality ya wachezaji wengine ambao watamsaidia kufanikisha lengo.

Mayele angecheza kwenye Club kama Geita asingeweza kutoka na magoli yale ambayo Saido alifunga.

Pili, Saido ni Attacking Midfielder. Hakai eneo la mwisho, huyu role yake ya kwanza ni ku supply mipira kwa Strikers hivyo kuona anakupa double profit hicho sio kitu kidogo.

Tatu ameonesha ni mchezaji ambaye anaweza kufunga katika mazingira yeyote, Mayele sijui kama alishawahi kupiga freekick.

Mayele penati tu ilimshinda.

Lakini Saido kaonesha makali kwenye kila department na tena kaimaliza eneo lake kaanza kutifua na kwenye maeneo ya Strikers ambapo huko sio kwake.
Wahi CAS haiwezekani huu ni uhuni
 
MVP wa mchongo, mchezaji ambaye amehusika kwenye mabao 20 anakuwaje MVP mbele ya mchezaji mwenye 31 goals involvement?

Una factor nyingine unayoweza kuiweka hapa inayoonesha Mayele amestahili kuwa MVP, tukaijadili?
Bangala na Tshabalala walihusika kwenye mabao mangapi?
 
Back
Top Bottom