Takwimu za Kibu D Vs Mayele zinatia uchungu

Takwimu za Kibu D Vs Mayele zinatia uchungu

Saido alistahili kwanza kafunga magoli kwenye Club mbili tofauti.

Hiyo inaonesha uwezo binafsi aa mchezaji katika kufunga bila kutegemea Quality ya wachezaji wengine ambao watamsaidia kufanikisha lengo.

Mayele angecheza kwenye Club kama Geita asingeweza kutoka na magoli yale ambayo Saido alifunga.

Pili, Saido ni Attacking Midfielder. Hakai eneo la mwisho, huyu role yake ya kwanza ni ku supply mipira kwa Strikers hivyo kuona anakupa double profit hicho sio kitu kidogo.

Tatu ameonesha ni mchezaji ambaye anaweza kufunga katika mazingira yeyote, Mayele sijui kama alishawahi kupiga freekick.

Mayele penati tu ilimshinda.

Lakini Saido kaonesha makali kwenye kila department na tena kaimaliza eneo lake kaanza kutifua na kwenye maeneo ya Strikers ambapo huko sio kwake.
Sasa mtu unafunga goli Tano mechi Moja Tena Kwa timu iliyojikatia tamaa baada ya kushuka daraja ndo umlinganishe na THE KING HIMSELF MAYELE?
 
Mayele hakucheza na Polisi Tanzania?

Mbona nyie mlipigwa na Ihefu kipindi ambacho ilikuwa kwenye nafasi ya chini kushuka daraja?
Ona ulivyo mweupe wewe mtu . Nimekwambia huyo mchezaji wako aliifunga magoli 5 timu ambayo TAYARI IMESHASHUKA DARAJA . Shida Yako ni mweupe mno .😂😂😂
 
Sasa mtu unafunga goli Tano mechi Moja Tena Kwa timu iliyojikatia tamaa baada ya kushuka daraja ndo umlinganishe na THE KING HIMSELF MAYELE?
Kwanza sio kweli kuwa ilikuwa ni baada ya kushuka daraja.

Polisi Tanzania ilikuwa ni mechi yao muhimu ambayo walikuwa wanacheza kwa kujituma ili kuepuka wasishuke daraja.

Kwa hiyo kama kuna sehemu Polisi walicheza kwa jasho na damu basi ilikuwa ni mechi ile.

Lakini hiyo sio hoja sana.

Hoja ni kwamba hiyo timu ilicheza na Yanga pia, na Mayele akiwepo. Alishindwaje kufunga bao 5?

Mlipigwa na Ihefu umesahau walikuwa kwenye nafasi gani?
 
Kwanza sio kweli kuwa ilikuwa ni baada ya kushuka daraja.

Polisi Tanzania ilikuwa ni mechi yao muhimu ambayo walikuwa wanacheza kwa kujituma ili kuepuka wasishuke daraja.

Kwa hiyo kama kuna sehemu Polisi walicheza kwa jasho na damu basi ilikuwa ni mechi ile.

Lakini hiyo sio hoja sana.

Hoja ni kwamba hiyo timu ilicheza na Yanga pia, na Mayele akiwepo. Alishindwaje kufunga bao 5?

Mlipigwa na Ihefu umesahau walikuwa kwenye nafasi gani?
Pengne nikupe assignment wewe kolo . Nenda katafute jumla ya mechi alizocheza huyo mkongwe wenu . Uangalie alicheza game ngapi ambazo alitoka akiwa kafunga goli . Then umlinganishe na THE KING HIMSELF 😂😂😂
 
Ona ulivyo mweupe wewe mtu . Nimekwambia huyo mchezaji wako aliifunga magoli 5 timu ambayo TAYARI IMESHASHUKA DARAJA . Shida Yako ni mweupe mno .😂😂😂
Kapitie vizuri vyanzo vyako.

Polisi Tanzania walipokutana na Simba hawakuwa wameshuka daraja.
 
Pengne nikupe assignment wewe kolo . Nenda katafute jumla ya mechi alizocheza huyo mkongwe wenu . Uangalie alicheza game ngapi ambazo alitoka akiwa kafunga goli . Then umlinganishe na THE KING HIMSELF 😂😂😂
Hizo mechi alizocheza Saido kacheza na timu tofauti ambazo Mayele hajakutana nazo?

Kwasababu kama itaonekana timu alizocheza nazo Saido ndio hizo hizo alizokutana nazo Mayele basi hoja yako itakuwa yakipuuzi tu.

Na ukumbuke Saido kacheza mechi chache na dakika chache kuliko Mayele.
 
Hizo mechi alizocheza Saido kacheza na timu tofauti ambazo Mayele hajakutana nazo?

Kwasababu kama itaonekana timu alizocheza nazo Saido ndio hizo hizo alizokutana nazo Mayele basi hoja yako itakuwa yakipuuzi tu.

Na ukumbuke Saido kacheza mechi chache na dakika chache kuliko Mayele.

Hizo mechi alizocheza Saido kacheza na timu tofauti ambazo Mayele hajakutana nazo?

Kwasababu kama itaonekana timu alizocheza nazo Saido ndio hizo hizo alizokutana nazo Mayele basi hoja yako itakuwa yakipuuzi tu.

Na ukumbuke Saido kacheza mechi chache na dakika chache kuliko Mayele.
FyNH2AgX0AUufQQ.jpeg

Kwanza hata hiyo tuzo ya fair play walimpaje mchezaji alioneshwa red card ♦️♦️♦️♦️
 
Kwanza sio kweli kuwa ilikuwa ni baada ya kushuka daraja.

Polisi Tanzania ilikuwa ni mechi yao muhimu ambayo walikuwa wanacheza kwa kujituma ili kuepuka wasishuke daraja.

Kwa hiyo kama kuna sehemu Polisi walicheza kwa jasho na damu basi ilikuwa ni mechi ile.

Lakini hiyo sio hoja sana.

Hoja ni kwamba hiyo timu ilicheza na Yanga pia, na Mayele akiwepo. Alishindwaje kufunga bao 5?

Mlipigwa na Ihefu umesahau walikuwa kwenye nafasi gani?
Jasho na damu wanafungwa chuma sita kuwa serious aisee
 
Saido alistahili kwanza kafunga magoli kwenye Club mbili tofauti.

Hiyo inaonesha uwezo binafsi aa mchezaji katika kufunga bila kutegemea Quality ya wachezaji wengine ambao watamsaidia kufanikisha lengo.

Mayele angecheza kwenye Club kama Geita asingeweza kutoka na magoli yale ambayo Saido alifunga.

Pili, Saido ni Attacking Midfielder. Hakai eneo la mwisho, huyu role yake ya kwanza ni ku supply mipira kwa Strikers hivyo kuona anakupa double profit hicho sio kitu kidogo.

Tatu ameonesha ni mchezaji ambaye anaweza kufunga katika mazingira yeyote, Mayele sijui kama alishawahi kupiga freekick.

Mayele penati tu ilimshinda.

Lakini Saido kaonesha makali kwenye kila department na tena kaimaliza eneo lake kaanza kutifua na kwenye maeneo ya Strikers ambapo huko sio kwake.
Sikatai Saido ni mchezaji mzuri sana na amekua na msimu mzuri mno

Points zako zoote zimejikita kwenye "Saido amefunga hivi na vile"

Value ya Mayele inaletwa na mchango wake kwenye Ubingwa wa Yanga, ubingwa ulikua ni ultimate target/sababu ya ligi kuwepo na kufanyika.

Ukitoa mchango wa Mayele kwa Yanga then wasingekua mabingwa na Simba wangekua mabingwa na mchango wa Saido kwenye ungekua na VALUE, na hapa angestahili kua MVP

Sababu ya ligi kufanyika ni Ubingwa, Mayele kawapa Yanga Ubingwa single handedly. Anastahihili kua MVP
 
Kapitie vizuri vyanzo vyako.

Polisi Tanzania walipokutana na Simba hawakuwa wameshuka daraja.
Kaka Saido kishazeeka yule, usingekuwa uhasimu wa Simba na Yanga, wala polisi wasingepokea bahasha ili kumpa Saido goli 5.
 
Sikatai Saido ni mchezaji mzuri sana na amekua na msimu mzuri mno

Points zako zoote zimejikita kwenye "Saido amefunga hivi na vile"

Value ya Mayele inaletwa na mchango wake kwenye Ubingwa wa Yanga, ubingwa ulikua ni ultimate target/sababu ya ligi kuwepo na kufanyika.

Ukitoa mchango wa Mayele kwa Yanga then wasingekua mabingwa na Simba wangekua mabingwa na mchango wa Saido kwenye ungekua na VALUE, na hapa angestahili kua MVP

Sababu ya ligi kufanyika ni Ubingwa, Mayele kawapa Yanga Ubingwa single handedly. Anastahihili kua MVP
Linapokuja swala la kuchagua MVP huwa hakiangaliwi kigezo cha Kombe .

Luca Modric alitwaa tuzo hiyo 2018 wakati kombe lilichukukiwa na France
 
Kaka Saido kishazeeka yule, usingekuwa uhasimu wa Simba na Yanga, wala polisi wasingepokea bahasha ili kumpa Saido goli 5.
Una amini Mayele ana miaka 29?
 
Back
Top Bottom