Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na tukienda mbali zaidi...๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃNa tukienda deep tukisema tuufanye huu mjadala kuwa mpana tukaamua kujadili mechanism ya hayo magoli magoli kwa kina namna yalivyo patikana tutaona namna mayele alivyokua akibustiwa na favour ya refa
Mimi nawaambieni wana yanga wenzangu huyu mayele mpaka msimu unaisha akikaa vibaya atakuwa ameachwa gape kubwa ya magoli na onyango.
Kapoteza soko si tishio tena kwenye derby tunapata mashaka kwenye round ya pili ambayo sisi ndio wenyeji tutamtumia nani kama tishio ili kuwapa morale mashabiki
Upepo wa mayele umekata ghafla kama ule ulio mpitiaga mzee mpili, nahisi kuna haja ya kutowapigia promo wachezaji wetu kwa kuwajaza bichwa ili kuwafanya wasipotee haraka.
We jamaa hawatakusahau [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]Na tukienda mbali zaidi...[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Wanipe hela kwa kuwaendeshea uzi waoWe jamaa hawatakusahau [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
๐๐Na mpambe wake sicarizi๐๐
kelphin ShadeeyaWanipe hela kwa kuwaendeshea uzi wao
Ngoja waamke, leo wamelala na viatu.Uchungu bado unaendelea.
Kwako mtakwimu mkuu kelphin hebu tueleze kitaalam hili goli la Mayele alilowafunga Gabon linaitwaje?Takwimu zinaendelea
๐๐ Nakazia Mkuu lile goli la jana ni habari ingine eti.kelphin Shadeeya
Updates zinahamia National team, Fiston Mayele anaifungia goli la pili DRC, score bodi ni Gabon 0 DRC 2
Goli kama hili la Mayele unaweza kuliona Uefa au world cup tu.
Kwako NALIA NGWENA
Naomba wanatakwimu mnipe adhabu imekuwaje nimepitwa bila kujua kuwa kuna takwimu mpya ,bila kunitag nisingejua kuwa Mayele kaongeza kitu kwenye takwimu maana nilitigwa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ndugu yangu Dr Matola PhDkelphin Shadeeya
Updates zinahamia National team, Fiston Mayele anaifungia goli la pili DRC, score bodi ni Gabon 0 DRC 2
Goli kama hili la Mayele unaweza kuliona Uefa au world cup tu.
Kwako NALIA NGWENA
Aaah nmeangalia comments kule yu tyubuKwako mtakwimu mkuu kelphin hebu tueleze kitaalam hili goli la Mayele alilowafunga Gabon linaitwaje?
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] jamaa akafuta Uzi lakini wapiAaah nmeangalia comments kule yu tyubu
Naona mess anaseme atajaribu kufanya mazoezi ili ajaribu kufunga kama hili
Pia mbape anasema ameliweka gol hili kama wallpaper
Ronaldinho anasema watakaa kikao kuona namna gani watambadilishaje mayele kua mu brasil [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hili ni funzo mkuu[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] jamaa akafuta Uzi lakini wapi