adriz
JF-Expert Member
- Sep 2, 2017
- 12,207
- 26,521
Inasikitisha sana ,lakini tutafuatilia Takwimu huko huko akiwa na timu ya Taifa ya DRC akisababisha updates humu kama kawa.Leo hazitii uchungu😂😂😂
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Inasikitisha sana ,lakini tutafuatilia Takwimu huko huko akiwa na timu ya Taifa ya DRC akisababisha updates humu kama kawa.Leo hazitii uchungu😂😂😂
Records ndio muhimu.Kinachoshangaza hawa mafala hawatoi kiatu cha mfungaji bora
Ukiinana nchaleInasikitisha sana ,lakini tutafuatilia Takwimu huko huko akiwa na timu ya Taifa ya DRC akisababisha updates humu kama kawa.
Sawa wangefanya kutoa zawadi hata mchezaji akiiangalia anasema mwaka fulani nilikua mfungaji bora kwenye mashindano hayaRecords ndio muhimu.
Mbona uchungu nimkubwa aseeUchungu updates :Mayele Goal bora NbC Kibu goli bora Makolo ndondo cup.
Bado tu tuna maswali ya takwimu?View attachment 2058407
umefika wakati maji yameanza kujitenga na mafuta [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kwako OKW BOBAN SUNZUBado tu tuna maswali ya takwimu?
KabisaHuu uzi naomba Mods waufute coz unamnajis Mayele.
MVP .. haya yote tuliyaona kabla sisi watazama mbali!Kuna mwenzako kajiita Azizi Ki, bora we ulivyokuwa na machale ulikuwa mbele ya muda kuiona hii aibu
Unasema?
MVP wa mchongo, mchezaji ambaye amehusika kwenye mabao 20 anakuwaje MVP mbele ya mchezaji mwenye 31 goals involvement?MVP .. haya yote tuliyaona kabla sisi watazama mbali!
Unalolote labda la kumwambia MVP wa NBC PL?
Magoli hewa aliyokua anafunga Saidoo utayafananishaje na magoli zazi?MVP wa mchongo, mchezaji ambaye amehusika kwenye mabao 20 anakuwaje MVP mbele ya mchezaji mwenye 31 goals involvement?
Una factor nyingine unayoweza kuiweka hapa inayoonesha Mayele amestahili kuwa MVP, tukaijadili?
Saido alistahili kwanza kafunga magoli kwenye Club mbili tofauti.Magoli hewa aliyokua anafunga Saidoo utayafananishaje na magoli zazi?
Magoli ya Mayele yameipa Yanga Ubingwa wa NBC PL
Hayo magoli anafungwa polisi Tanzania iliyojishukia daraja 😂😂😂.MVP wa mchongo, mchezaji ambaye amehusika kwenye mabao 20 anakuwaje MVP mbele ya mchezaji mwenye 31 goals involvement?
Una factor nyingine unayoweza kuiweka hapa inayoonesha Mayele amestahili kuwa MVP, tukaijadili?
Mayele hakucheza na Polisi Tanzania?Hayo magoli anafungwa polisi Tanzania iliyojishukia daraja 😂😂😂.
Mayele alivyomkeraji et tuzo akamwambia mkewe akazichukue ðŸ˜ðŸ˜