ukikaidi utapigwa2
JF-Expert Member
- Feb 24, 2015
- 15,265
- 29,991
Hauja mjua vizuri, ni kiazi sana ila ujuaji mwingiHUyu jamaa anaongeaga kwa kufocus mbele zaid, ila hapa sijui alipitiwa ba nini Scars
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hauja mjua vizuri, ni kiazi sana ila ujuaji mwingiHUyu jamaa anaongeaga kwa kufocus mbele zaid, ila hapa sijui alipitiwa ba nini Scars
Kibu rekodi aliyonayo ni kuteleza kwa magoti uwanja wa MkapaHahahaa. Rafiki ukikutana na za Kibu tuletee pia hebu. 🤣
Huku zikitia uchungu bado.Sawa tumefungwa
Ila takwimu ziendelee
Mafuta na maji yameshajitenga. mayele ndio mfungaji bora Africa.Sawa tumefungwa
Ila takwimu ziendelee
Scars Otorong'ong'o hebu njooni huku mchekee chooni.Mleta uzi yupo ? basi mumtag aje hata kusalimia humu.
Haitustuiiiiiiiii, ubingwa wa team ndo unauma, mafanikio binafsi sio kituu, akiondoka tunasahau.Mafuta na maji yameshajitenga. mayele ndio mfungaji bora Africa.
Sasa kitu cha ufungaji bora walazimishe tena kumpa George Mpole au wampe Kibu Denis, Mayele yupo levels za ufungaji bora Africa.
Nadhani hili ndio litawauma zaidi wakati Mayele anachukuwa kiatu cha dhahabu cha CAF.
Ila we jamaa ndio umekosa aibu kabisa.Scars Otorong'ong'o hebu njooni huku mchekee chooni.
Kwamba Mayele siyo mfungaji bora? Subiri fainali ya mwisho uone akibeba kiatu cha dhahabu ndio akili zitakurudia.Ila we jamaa ndio umekosa aibu kabisa.
Yani wewe ni Mwigulu utofauti wenu utakuwa kwenye rangi ya tai tu lakini haya hamna
Kutoka ofisi ya Takwimu, bado ni uchungu mtupu!
Huku zikitia uchungu bado.
Umeelewa lakini? Hizo takwimu hazijasema ligi kuu pekee.
Huna mke wa kupiga mida hii mpaka unahangaika na mipira?
Afadhari umunyongeMala ya mwisho bwana [mention]OKW BOBAN SUNZU [/mention] aliingia humu tar 23/11/2023 hadi leo hajatamka chochote
Kiongozi tunaomba useme chochote kitu na roho zetu zinafirahi
Ahsante.
KabisaUnapotoa takwimu unaweza kuonekana upo sahihi, ninaamini ukimwambia mwalimu wa simba pale yanga anamtamani mchezaji gani naamini hakosi kumtaja Mayele, na inawezekana mwalimu wa yanga asimtamani Kibu Denis.
Mwisho wa siku mwanzisha Uzi anaona aibu yeye mwenyewe. Japo anaweza akakomaa kujikakamuaUnapotoa takwimu unaweza kuonekana upo sahihi, ninaamini ukimwambia mwalimu wa simba pale yanga anamtamani mchezaji gani naamini hakosi kumtaja Mayele, na inawezekana mwalimu wa yanga asimtamani Kibu Denis.