Takwimu za Kibu D Vs Mayele zinatia uchungu

Takwimu za Kibu D Vs Mayele zinatia uchungu

Kwa criteria gani?
IMG-20230521-WA0031.jpg
 
Na tukienda deep tukisema tuufanye huu mjadala kuwa mpana tukaamua kujadili mechanism ya hayo magoli magoli kwa kina namna yalivyo patikana tutaona namna mayele alivyokua akibustiwa na favour ya refa

Mimi nawaambieni wana yanga wenzangu huyu mayele mpaka msimu unaisha akikaa vibaya atakuwa ameachwa gape kubwa ya magoli na onyango.

Kapoteza soko si tishio tena kwenye derby tunapata mashaka kwenye round ya pili ambayo sisi ndio wenyeji tutamtumia nani kama tishio ili kuwapa morale mashabiki

Upepo wa mayele umekata ghafla kama ule ulio mpitiaga mzee mpili, nahisi kuna haja ya kutowapigia promo wachezaji wetu kwa kuwajaza bichwa ili kuwafanya wasipotee haraka.
marehemu Ruge aliwahi kusema ogopa Mungu na teknolojia.
 
Na tukienda deep tukisema tuufanye huu mjadala kuwa mpana tukaamua kujadili mechanism ya hayo magoli magoli kwa kina namna yalivyo patikana tutaona namna mayele alivyokua akibustiwa na favour ya refa

Mimi nawaambieni wana yanga wenzangu huyu mayele mpaka msimu unaisha akikaa vibaya atakuwa ameachwa gape kubwa ya magoli na onyango.

Kapoteza soko si tishio tena kwenye derby tunapata mashaka kwenye round ya pili ambayo sisi ndio wenyeji tutamtumia nani kama tishio ili kuwapa morale mashabiki

Upepo wa mayele umekata ghafla kama ule ulio mpitiaga mzee mpili, nahisi kuna haja ya kutowapigia promo wachezaji wetu kwa kuwajaza bichwa ili kuwafanya wasipotee haraka.
Dah sikuwahi kuiona hii comment kabla. Kama uliwahi kuandika hivi halafu bado unakaza fuvu humu basi hauna aibu kabisa na kwa jamii ya kitanzania mtu asie na na aibu basi hana adabu. Binafsi nimeshangaa sana. Ni muda mwafaka sasa ukawe mchambuzi wa muziki maana naona huko unaweza kidogo. Huku unakokomaa unatoa boko sana
 
Dah sikuwahi kuiona hii comment kabla. Kama uliwahi kuandika hivi halafu bado unakaza fuvu humu basi hauna aibu kabisa na kwa jamii ya kitanzania mtu asie na na aibu basi hana adabu. Binafsi nimeshangaa sana. Ni muda mwafaka sasa ukawe mchambuzi wa muziki maana naona huko unaweza kidogo. Huku unakokomaa unatoa boko sana
Zipo nyingine nyingi kama hizo hujapata tu bahati ya kuziona.

Ukiziona hizo, hii ya leo iliyokushangaza utaiona ina unafuu.
 
Back
Top Bottom