Tresor Mandala
JF-Expert Member
- Aug 20, 2010
- 40,905
- 86,203
Hahahaha[emoji23][emoji23][emoji23]wewe jamaa hua una ingizwa chaka na huyo mental wako
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahaha[emoji23][emoji23][emoji23]wewe jamaa hua una ingizwa chaka na huyo mental wako
Any updates?
Acha kutupanga we sio mwana YangaHili ndio kosa ambalo sisi wana yanga linatusumbua, wanasimba wanauliza kwani huyo mayele kwenye mechi ya juzi hiyo tarehe 11 hakucheza?
Huu uzi haufutwi mzee. Tumeufanyia lamination kabisa na tuko kwenye mchakato wa kuukatia bima. Lazima vizazi vijavyo vije kushuhudia upuuzi wa mleta mada!Huu uzi naomba Mods waufute coz unamnajis Mayele.
Huu uzi naomba Mods waufute coz unamnajis Mayele.
Mods futeni huu uchafu.
Mayele ni level za Halaand, unamfananisha vipi na Kibu Denis?Ili?
AahhaahaaaHuu uzi haufutwi mzee. Tumeufanyia lamination kabisa na tuko kwenye mchakato wa kuukatia bima. Lazima vizazi vijavyo vije kushuhudia upuuzi wa mleta mada!
Mayele ni level za Halaand, unamfananisha vipi na Kibu Denis?
Comment ya huyu mdau inahitaji kupatiwa ulinzi mkubwa huku takwimu zikiendelea.Na tukienda deep tukisema tuufanye huu mjadala kuwa mpana tukaamua kujadili mechanism ya hayo magoli magoli kwa kina namna yalivyo patikana tutaona namna mayele alivyokua akibustiwa na favour ya refa
Mimi nawaambieni wana yanga wenzangu huyu mayele mpaka msimu unaisha akikaa vibaya atakuwa ameachwa gape kubwa ya magoli na onyango.
Ogopa TechnologyNa tukienda deep tukisema tuufanye huu mjadala kuwa mpana tukaamua kujadili mechanism ya hayo magoli magoli kwa kina namna yalivyo patikana tutaona namna mayele alivyokua akibustiwa na favour ya refa
Mimi nawaambieni wana yanga wenzangu huyu mayele mpaka msimu unaisha akikaa vibaya atakuwa ameachwa gape kubwa ya magoli na onyango.
Kapoteza soko si tishio tena kwenye derby tunapata mashaka kwenye round ya pili ambayo sisi ndio wenyeji tutamtumia nani kama tishio ili kuwapa morale mashabiki
Upepo wa mayele umekata ghafla kama ule ulio mpitiaga mzee mpili, nahisi kuna haja ya kutowapigia promo wachezaji wetu kwa kuwajaza bichwa ili kuwafanya wasipotee haraka.