Takwimu za Mayele vs Phiri, nani mkali?

Hiyo mzee alibebwa na mafundi???View attachment 2363193
Mkuu, sikumaanisha kuwa kila goli analofunga linatokana na kubebwa but mara nyingi huwa juhudi za wenzake kumpasia na zake mwenyewe kama mfungaji. Kwa Phiri hutokea mara chache kupata pasi za kumalizia kutokana na ubinafsi wa baadhi ya wenzake pamoja na u butu wao wa kutengeneza nafasi (ukilinganisha na wataalam wa Yanga) hivyo humfanya Phiri kutumia akili zaidi, nguvu na uwezo wake binafsi kushughulika mwenyewe na kupenya.
 
Huwezi kufananisha mtu mrefu na mfupi, labda kama huna akili, hopeless. Mrefu kivyovyote atashinda tu. Au ndio mambo ya center of gravity [emoji1787][emoji1787]
Yupi mrefu........& Yupi mfupi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…