Takwimu za Mayele vs Phiri, nani mkali?

Takwimu za Mayele vs Phiri, nani mkali?

Labani og

JF-Expert Member
Joined
Sep 15, 2020
Posts
19,637
Reaction score
29,473
Salaaam Wana JF

Baada ya kila upande wa wachambuzi na mashabiki wa mpira kuchambua ubora wa wachezaji hawa king Mayele vs king Phili katika kufumania nyavu leo nimekuletea takwimu zao za msimu huu

Takwimu zao za msimu huu king Mayele ( Mr hat trick) vs king Phili ( no hat trick)

King Mayele:
Michezo:. 7
Magoli :. 11
Assists:. 1
Hat trick:. 2

King Phili
Mechi. 7
Goal. 6
Assists. 0
Hat trick. 0

Takwimu hazidanganyi, Je Nani Ni mkali zaidi Kati ya Mayele vs Phili?????
 
Mayele ana hat trick 2 heavyweight za CAF CHAMPIONS lakini Phil ana goal Kali zaidi pale mjini CAF?????
FB_IMG_16636802076372160.jpg
 
Salaaam Wana JF

Baada ya kila upande wa wachambuzi na mashabiki wa mpira kuchambua ubora wa wachezaji hawa king Mayele vs king Phili katika kufumania nyavu leo nimekuletea takwimu zao za msimu huu

Takwimu zao za msimu huu king Mayele ( Mr hat trick) vs king Phili ( no hat trick)

King Mayele:
Michezo:. 7
Magoli :. 11
Assists:. 1
Hat trick:. 2

King Phili
Mechi. 7
Goal. 6
Assists. 0
Hat trick. 0

Takwimu hazidanganyi, Je Nani Ni mkali zaidi Kati ya Mayele vs Phili?????
Tusubiri huyo "PHILI" akija kucheza ligi yetu ndio tuanze kulinganisha takwimu. Siyo sahihi kulinganisha wachezaji wasiocheza ligi moja.
 
Salaaam Wana JF

Baada ya kila upande wa wachambuzi na mashabiki wa mpira kuchambua ubora wa wachezaji hawa king Mayele vs king Phili katika kufumania nyavu leo nimekuletea takwimu zao za msimu huu

Takwimu zao za msimu huu king Mayele ( Mr hat trick) vs king Phili ( no hat trick)

King Mayele:
Michezo:. 7
Magoli :. 11
Assists:. 1
Hat trick:. 2

King Phili
Mechi. 7
Goal. 6
Assists. 0
Hat trick. 0

Takwimu hazidanganyi, Je Nani Ni mkali zaidi Kati ya Mayele vs Phili?????
Tuwekee na dakika walizocheza kila mmoja.
 
Mayele akienda simba na Phiri kwenda yanga, Phiri ataibuka kidedea tu na Mayele atafuatia.
Mayele anabebwa na mafundi hatari huko but Phiri mara nyingi anajihangaikia mwenyewe tu.
 
Back
Top Bottom