Sanchez magoli
JF-Expert Member
- Apr 24, 2015
- 4,055
- 8,540
tbt# ya wauza matunda. Afu walikuwa rojo rojo mliwasajilijiNaona umeamua kupandanisha habari Mtani. Haya bana muda utaongea kama usemavyo.
Naona unazidi kuzunguka tu Mtani. Haya niambie kutokana na hizo takwimu ni garasa au sio garasa?tbt# ya wauza matunda. Afu walikuwa rojo rojo mliwasajiliji
View attachment 1142815
Nakukumbusha tu Mtoto wa tabata, bwana migomba Leo ndio kamiliza mkataba wake rasmi.
Hahaha mtani Mimi naamini izo ni namba tuNaona unazidi kuzunguka tu Mtani. Haya niambie kutokana na hizo takwimu ni garasa au sio garasa?
Muongo wewe kagere tulikuwa tushamuona na alifahamika ubora wake. Okwi hayakusemwa haya wala kuchambuliwa hivi"NYOTA WA ZAMANI" wa vilabu alivyopitia
Nyota inawezaje kuwa garasa??
Hata Okwi na Kagere haya maneno tuliyasikia. Baadae wakaja kuwafumua vyura marinda.
Na Chelsea pia wskamchukua kwa mkopo akachemkaBale tunaweza kumuelewa kidog amepeform lakin kuna transfer mbovu kweli kama Man u kumchukua Falcao kwa mkopo kiukweli alichemsha vibaya sana
Usajili mwingine bora ubaki kimya maana huwezi jua kitachotokea
Yale yale ya Bale kununuliwa bei kubwa akashindwa fanya kitu
Ha ha ha ha pro Wa kiatu hikindo yule wa kiatu chake icho icho kimechakaa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kama ame google vizuri siyo mbaya tukizizingatia hizo takwimu. Labda kama amekosea Ku googleGongowazi bwana [emoji196][emoji196] mnasubiri mpka Shaffih Dauda aGoogle [emoji16][emoji16]
Ha ha ha haBrazil kila mtu anajua kucheza mpira
mkiwa mbumbumbu mtasajili kila mnayemuona katoka Brazil
[emoji23][emoji3] mkuu dah hahaha hahah"NYOTA WA ZAMANI" wa vilabu alivyopitia
Nyota inawezaje kuwa garasa??
Hata Okwi na Kagere haya maneno tuliyasikia. Baadae wakaja kuwafumua vyura marinda.
Ila watu huu ujasiri mnautoa wapi?Utabiri wangu TPL mwakani..
1. Dar Young Africans (Champs)
2.KMC
3.Azam
4.Mikia
Kutokana na usajili Wa simba ya Sudan.Ila watu huu ujasiri mnautoa wapi?
Aiseeeh, yule msudan ni shidah,, uwezo wake mkubwa mno, naomba asipate majeruiKutokana na usajili Wa simba ya Sudan.
Kuna wajanja wanakula hela ya Kanjibhai. Awe star kweli au garasa, wametia chao mfukoni.TAIRONE SANTOS DA SILVA. Ni mchezaji wa zamani wa vilabu vya
:
[emoji778]2009-12: Esporte: Mechi 18
[emoji778]2012: Cerâmica: Mechi 0
[emoji778]2013: Canoas: Mechi 7
[emoji778]2013: Cianorte: Mechi 10
:
[emoji3578] Baada ya hapo akapumzika kidogo kwa muda wa miaka mitatu
:
[emoji778]2016: Esporte: Mechi 4
[emoji778]2017-18: Ypiranga: Mechi 18
[emoji778]2018: Sao Luiz: Mechi 12
[emoji778]2019: Cearence: Mechi 6
[emoji778]2019- ???????
:
Karika umri wa miaka 30 amacheza mechi za mashindano 75 pekee
:
[emoji457]Magoli -2
[emoji431]Kadi za njano-24
[emoji425]Kadi Nyekundu-3
:View attachment 1142721
Free agent hao wwKuna wajanja wanakula hela ya Kanjibhai. Awe star kweli au garasa, wametia chao mfukoni.