Takwimu za mshambuliaji hatari

Sawa tuwekee za aziz ki na chama
Halafu uje kwa yule aliyepigwa hatrick na sopu arusha dhidi ya air manula ili twende sawa.
Makolo mna vichekesho uyo konokono wenu aliyeshindwa berkane uje kumfananisha na MVP wa ligi ya Ivory coast? Ligi iliyotoa wachezaji kedekede waliotikisa dunia drogba,kalou,kolo toure,Yaya toure,bakar kone,eboue,koulibaly,nk.
 
Kama mchezaji wako hajawahi kuchukua ufungaji bora hata wa ndondo cup futa uzi tu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mimi ni Simba ila ukweli lazima tuukubali Mayele ni hatari sana.Ni mchezaji pekee toka utopolo ningetamani acheze Simba ila ndo basi tena naye keshaingiwa utopolo damumi
Mmmmh
 
Sawa tuwekee za aziz ki na chama
Halafu uje kwa yule aliyepigwa hatrick na sopu arusha dhidi ya air manula ili twende sawa.
Mshabiki maandazi anakuwa hivi πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„
Mbumbumbu pia anakuwa hivi. Kwani mtoa mada amemfananisha Maleye na nani? Takataka
 
Hivi kuna timu ya ligi hapa bongo haijaonja pigigo cha Mayele? Sina kumbukumbu vizuri
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…