Takwimu za mzee onyango klabu bingwa

Kuna baadhi ya mechi apa Bongo Onyango uwa anasababisha Penalty ila waaamuzi wetu Wana mambo ya Mbeleko.
Marefa wa wenzetu awafumbii macho upuuzi.
Kabisa mkuu....hili limethibitika
 
Anashindwa kunyumbulika
 
Mchezaji sehemu ya kugeuka na ku clear mpira anashindwa anakwenda kukata Kona kama mabasi ya Layland ya Mwingereza [emoji1][emoji1][emoji1]
Mifupa imezeeka mkuu
 
MZEE MO uwa anamsalimia MZEE ONYANGO shikamoo!

Kisia Mzee Onyango atakuwa na miaka mingapi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…