choza choza
JF-Expert Member
- Jan 17, 2019
- 2,081
- 3,831
Alikuwa mchezaji wa kuikamia Simba baada ya hapo anarudi kuwa wa daraja la kawaida sanaHuyu mwamba ndani ya miaka minne pale Azam amefunga jumla ya magoli 34, ikiwa ni wastani wa magoli 8 kwa msimu
Ni mshambuliaji tuu wa kawaida sema media tuu zilimkuza bila sababu
Hivyo kinachotokea pale utopoloni wala sio cha kushangaza
Mi toka mwanzo sikumkubali labda ani-prove wrong. Kitu Guede bana.Huyu mwamba ndani ya miaka minne pale Azam amefunga jumla ya magoli 34, ikiwa ni wastani wa magoli 8 kwa msimu
Ni mshambuliaji tuu wa kawaida sema media tuu zilimkuza bila sababu
Hivyo kinachotokea pale utopoloni wala sio cha kushangaza
Ajabu tangu aende yanga hayo majeruhi yameponaDube majeruhi ndiyo yalimponza,hizo goli 8 alikuwa anafunga hata nusu ya msimu haijafika
Hapana media hazikumkuza bali ilikuwa ana funga kwenye big match za simba na yanga but nothing else.Huyu mwamba ndani ya miaka minne pale Azam amefunga jumla ya magoli 34, ikiwa ni wastani wa magoli 8 kwa msimu
Ni mshambuliaji tuu wa kawaida sema media tuu zilimkuza bila sababu
Hivyo kinachotokea pale utopoloni wala sio cha kushangaza
Ni kweliHuyu mwamba ndani ya miaka minne pale Azam amefunga jumla ya magoli 34, ikiwa ni wastani wa magoli 8 kwa msimu
Ni mshambuliaji tuu wa kawaida sema media tuu zilimkuza bila sababu
Hivyo kinachotokea pale utopoloni wala sio cha kushangaza
Sasa hana majeruhi amefunga mangapi?Dube majeruhi ndiyo yalimponza,hizo goli 8 alikuwa anafunga hata nusu ya msimu haijafika