choza choza
JF-Expert Member
- Jan 17, 2019
- 2,081
- 3,831
Huyu mwamba ndani ya miaka minne pale Azam amefunga jumla ya magoli 34, ikiwa ni wastani wa magoli 8 kwa msimu
Ni mshambuliaji tuu wa kawaida sema media tuu zilimkuza bila sababu
Hivyo kinachotokea pale utopoloni wala sio cha kushangaza
Ni mshambuliaji tuu wa kawaida sema media tuu zilimkuza bila sababu
Hivyo kinachotokea pale utopoloni wala sio cha kushangaza